Shikorobo vs Gallardo

Shikorobo vs Gallardo

Darius Tanz

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
461
Reaction score
137
Nimepata bahati ya kusikiliza wimbo mpya wa msanii shetta lakini nimepata shida kuutofautisha na wimbo wa msanii toka nigeria anayefahamika kwa jina la runtown aliyemshirikisha davido unaoitwa gallardo sijui wenzangu mmeuonaje.
 
Bongo fleva imepatwa na ugonjwa hatari wa unaigeria, isipoangalia huu ugonjwa utaiua.
Shettah bureee kabisa, nilitegemea atatoa bongo fleva hit ya maana anakuja kutoa naija fleva!!
 
Dogo kapewa penati dakika ya 90+ kapaisha ile joint ni Naija flavour ile beat ina vinanda vya Gillardo alafu alitaka aongeze hekaheka kama za Kanyaboya inabidi arudi tena naamini atafanya vizuri.
Hawa waNaija washagundua tumekua maboya acha tuburuzwe tunakopi kila kitu nyambafuuuu zetu.
 
Tatizo wabongo hatuko stable Kuna miziki ina identity yetu lakin haipew kipaumbele,media nazo zinachangia hili,binafs inaniboa sana media kupiga nyimbo nying za Nigeria za wasanii WA bongo zinatiwa kapun
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom