IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,794
- 7,210
Jamani hawa clouds wanaboa saaaaana wameanza tabia mbaya mno ya kutumia nyimbo za watu sijui wanawapa nn wanazipiga remix ili kuipa promo redio yao wanaboa sana hivi redio hii ina wanataaluma kweli au hua wanaokotana kama njugu maana kwa proffesional yyte huwezi kufanya upuuzi huu