Huyu ndo msanii ninayemkubali Bongo, we unamkubali nani?

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,229


NIKUSAIDIAJE.

Umesahau ulipotoka hujui unapokwenda,
ukapata kiburi kuona mi nakupenda,
nilikutamini na letu penzi kulienzi,
na leo siamini kama umelisaliti mpenzi,
kumbuka nilikukuta kijijini sitimbi,
umebeba mahindi na furushi la magimbi,........
........................
 
Last edited by a moderator:


NIKUSAIDIAJE.

Umesahau ulipotoka hujui unapokwenda,
ukapata kiburi kuona mi nakupenda,
nilikutamini na letu penzi kulienzi,
na leo siamini kama umelisaliti mpenzi,
kumbuka nilikukuta kijijini sitimbi,
umebeba mahindi na furushi la magimbi,........
........................



Muda sasa umewadia ndugu zangu watanzania,
mambo niliyoyafanya hayapasi kusimulia.......
........
 
Last edited by a moderator:
Kwa msanii, jay key yupo juu, kwa msaani wa bongo fleva, mfalme selemani, kwa mziki wa bongo fleva, gretest of all times ni mtoto wa geti kali by inspekta haruni...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom