GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,260
- 127,067
Pamoja na wadau wengine wote naomba mnisaidie kuchambua maana halisi au nini ilikuwa nia ya mtunzi mahiri wa nyimbo za taarab nchini Mzee Yusuph katika wimbo wake mpya usemao " Ikisimama panda ".
Nitawashukuru kwa uchambuzi wenu wa kina kuhusiana maudhui halisi ya wimbo huo na kwanini alichagua maneno hayo. Hakika ikisimama lazima uipande tu.
Karibuni
Nitawashukuru kwa uchambuzi wenu wa kina kuhusiana maudhui halisi ya wimbo huo na kwanini alichagua maneno hayo. Hakika ikisimama lazima uipande tu.
Karibuni