Mfalme Mzee Yusufu

Mfalme Mzee Yusufu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,260
Reaction score
127,067
Pamoja na wadau wengine wote naomba mnisaidie kuchambua maana halisi au nini ilikuwa nia ya mtunzi mahiri wa nyimbo za taarab nchini Mzee Yusuph katika wimbo wake mpya usemao " Ikisimama panda ".

Nitawashukuru kwa uchambuzi wenu wa kina kuhusiana maudhui halisi ya wimbo huo na kwanini alichagua maneno hayo. Hakika ikisimama lazima uipande tu.

Karibuni
 
Jibu liko wazi mheshimiwa,ikisimama lazima mhusika apande,isiposimama kupanda inakua ngumu,
mwenyewe unafaham hilo.
 
Back
Top Bottom