Hashime kwenu!
Nautafuta wimbo uitwao "I Need Answer", nimemsahau mwimbaji.
Ni 'ngoma' za 80's, Ulikuwa unaenda sambamba na "Change On Me" wa Cynthia.
Natanguliza shukrani.
For those few of us who likes the boondocks animation.
The theme song is made by Asheru. i like it and ofcoz its my ringtone.
i got the uchambuzi of the track;
The song embodies the spirit of the...
Hivi yupo wapi mtu huyu. Amepotea sana!
Ukisikiliza rap zake akiwa na Chuchu Saundo unaweza kumtafuta usiku na mchana!
Ana kipaji huyu kijana ila hajapata platform tu!
Kuna movies flani huwa zina budgets za kawaida, waigizaji wa kawaida, promo ya kawaida, karibu kila kitu kawaida ila hujawahi kujutia kuziona wala hutajali kuziona tena na tena. Zangu ni hizi...
Maadili mema ya taarab yanaharibiwa na mduara na baikoko utakuta wanawake wanajidhalilisha sana
cha msingi wasanii wazingatie maadili
na taarabu ibaki na maadili yake mazuri
Kuna nyimbo moja hiv naitafuta japo sifahamu jina na walioimba lakin nakumba baadhi ya maneno kama vile WHEN I CRYING AND SMILE hiyo ngoma n wajaimaca raggae jamaa moja anasuit nyembamba hiv kwa...
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 kulikuwa na makundi mengi ya bongo fleva yaliyokuwa yanafanya vizuri.
Miongoni mwa makundi hayo ,TMK wanaume na EASTCOST team yalikuwa juu,.Makundi haya yalikuwa...
Wasanii wabongo kwa sasa ni kama wanashinsdana ivi kufanya video Kali.
Ukweli wanafanya vzr katika kuhakikisha wanatoa video Kali za nyimbo zao.
Hivi karibuni msanii Shetta ametoa video ya...
mimi ni mmoja kati ya mashabiki wa Afande selle, huwa nakunwa sana na mashahiri ya huyu jamaa ktk tungo zake, pia leo nimemkumbuka kwa vile kuna jamaa yangu kanisimulia story moja inayofanana na...
Hizi ni nyimbo mpyampya (kuanzia mwakajana hadi sasa) ambazo zikipigwa mahali popote lazima nitikise kichwa;
1. Kanyaboya---Mesen Selecta
2. Nimempata---Pam D ft Mesen
3. Chelewa---Navy Kenzo...
Bandugu,
Naomba kwa mwenye nyimbo zifuatazo anisaidie namna ya kuzipata (preferably online maana ukiniambia niende Mtaa wa Kongo ama Buguruni sitaweza maana nipo ughaibuni):
Sanza Misato (Shaba...
Kwa wale mliofika bagamoyo mtakua mnaifahamu club matata inaitwa lusona ndani ya milenium hotel.ni club ambayo imekua maarufu sana ambapo kila mwisho wa wiki utawakuta watu maarufu kibao kama...
I've waited for this coming April....Lord knows how long man.
3 main reasons:
I love them series man, from the 1st one.
I would really love to see how James Wan did it. Binafsi simwamini...
Currently niko Bukoba, jana pasaka kulikuwa na mashindano ya kushake na kuimba maeneo ya beach, msanii Songa wa Tamaduni Music na M-Rap walikuwa na show kwenye Club moja maarufu huku, wakaja...
Naweza kusema haya ni mapinduzi ya kweli katika bongo fleva big up KIBA. kwa hili la kupi show pale DAR LIVE kwa LIVE BAND kweli umetisha kaka huu ni mfuniko kwa wasanii wote tunaowajua akiwemo...
Salamu wakubwa, nilikuwa nauliza kwa aneweza kunisaidia kuupata wimbo wa tanzania umeimbwa na wahindi ni wa kitambo kidogo, mbaya zaidi siujui hata jina lake, tbc taifa ndio wanaoupiga mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.