Mimi huwa najiuliza wabongo huwa tunataka wasanii wetu waimbe muziki wa aina gani hasa.
Najiuliza kwa sababu msanii akiimba style za kinaigeria watamsema sana kwamba kwa nini aimbe style za west...
Wakuu nautafuta sana wimbo mmoja wa zilipendwa ila sikumbuki jina lake nakumbuka tu ubeti mmoja unasema hivi : Wewe anza mimi namaliza bora tusielewane vibaya. Je kuna anayekumbuka unaitwaje na...
Wakuu salam....
Kwa wale timu kiba vs timu daimond.....
Kwa kusema kiukweli ili kumsaidia huyu Msanii wetu alikiba anahitaji abadilike saana kwenye video zake, yaani ukiiangalia hii video...
Kila mtanzania mwenye mapenzi mema na muziki wetu.mpigie kura K 4 REAL katika category zote kwenye KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS. vote for K 4 REAL.
Radio Free Africa Tanzania*|* STARTV LIVE STARTV LIVE ONLINE
RADIO FREE AFRICA TANZANIA IPO LIVE ONLINE KTK LINKI HAPO JUU, JE WEWE MWANA- JAMIIFORUMS POPOTE ULIPO DUNIANI UNAIPATA?
HABARI HII...
jamani mbona movie nyingi za kibongo zinatukoroga sana. utakuta jina la movie limeandikwa kingereza mfano ,KILLER, MY TEARS, VILLAGE LIFE,nk lakini cha ajabu humu ndani wanaongea kiswahili na...
Freddie Mercury (5 September 1946 24 November 1991) was a British singer, songwriter and producer, best known as the lead vocalist and lyricist of the rock band Queen. As a performer, he was...
Nakumbuka maneno baadhi ya wimbo ila jina na msanii sikumbuki.
"Beti unaondoka ee, kwangu unaniacha, nami sina la kufanya, mama uende salama.
Mawazo x 3
Ukiwa x3 ........."
Nadhani tumeshuhudia wanamziki wengi hapa Bongo wanajua sana kuimba na kutunga nyimbo, lakini wawapo jukwaani wamekua wakitumia CD (playback), wanatumia beat zilizotengenezwa studio.
Lakini...
Wakuu,
Ni Wengi tunapenda kuangalia movies ila muda mwingi tunakua mbali na PC, laptop ama TV zetu. ningependea kushare na wenzangu sites hizi mbili ambapo ni among nyingne nyingi tu wakuu...
BIG RASPEKT TO ALL MAMAZ, ESP. THE AFRIKAN MAMA WHOSE MAJORITY OF WORK IS TOUGH AND YET SHE LOVINGLY CARE AND CARE AND CARE MUCH LUV
* Wimbo kwa ajili yenu (bonyeza kitufe play apo chini)...
Jamani Jamvini Naombeni Msaada Wa Nyimbo Ya Mrembo Na Siku Kama Hizi Za TID Kwenye Album Yake Ya Kwanza Iliyotoka 2003
Nazikibula Sana Hizi Nyimbo Nimeshaenda Wapsite Nyingi Bila Mafanikio Msaada...
Mimi napenda sana,movies za kutisha sana kama zombies movie na zingine zenye kutisha
Naomba kutajiwa majina ya movies hizo mimi nitazidownload au kama unaifaham link au website yenye movies za...
Wakuu tukiwa tunaendelea na wikiendi, mwenzenu usiku huu nimekumbuka mbali sana baada ya kusikia wimbo wa Chicco -Ineed some money,
Nimekumbuka miaka ya tisini na kitu huko Tarime - Mara...
VIDEO: Diamond Platnumz Nasema Nawe ft. Khadija Kopa
Diamond Platnumz divulges yet another outstanding video to his recent single entitled Nasema Nawe featuring Khadija Kopa. Directed by...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.