Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hashime kwenu! Nautafuta wimbo uitwao "I Need Answer", nimemsahau mwimbaji. Ni 'ngoma' za 80's, Ulikuwa unaenda sambamba na "Change On Me" wa Cynthia. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
For those few of us who likes the boondocks animation. The theme song is made by Asheru. i like it and ofcoz its my ringtone. i got the uchambuzi of the track; The song embodies the spirit of the...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi yupo wapi mtu huyu. Amepotea sana! Ukisikiliza rap zake akiwa na Chuchu Saundo unaweza kumtafuta usiku na mchana! Ana kipaji huyu kijana ila hajapata platform tu!
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Kuna movies flani huwa zina budgets za kawaida, waigizaji wa kawaida, promo ya kawaida, karibu kila kitu kawaida ila hujawahi kujutia kuziona wala hutajali kuziona tena na tena. Zangu ni hizi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maadili mema ya taarab yanaharibiwa na mduara na baikoko utakuta wanawake wanajidhalilisha sana cha msingi wasanii wazingatie maadili na taarabu ibaki na maadili yake mazuri
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Jamani nauliza ni wapi hapa Dar naweza fungiwa Music system nzuri kabisa kwa bei nafuu? Nitashukuru sana kwa maelekezo. George.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna nyimbo moja hiv naitafuta japo sifahamu jina na walioimba lakin nakumba baadhi ya maneno kama vile WHEN I CRYING AND SMILE hiyo ngoma n wajaimaca raggae jamaa moja anasuit nyembamba hiv kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Good morning. Kwa yeyote mwenye series ya jumong plz naomba anisaidie. Kwa aliye Dar tu naweza kumfuata alipo.Asante
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 kulikuwa na makundi mengi ya bongo fleva yaliyokuwa yanafanya vizuri. Miongoni mwa makundi hayo ,TMK wanaume na EASTCOST team yalikuwa juu,.Makundi haya yalikuwa...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Wasanii wabongo kwa sasa ni kama wanashinsdana ivi kufanya video Kali. Ukweli wanafanya vzr katika kuhakikisha wanatoa video Kali za nyimbo zao. Hivi karibuni msanii Shetta ametoa video ya...
0 Reactions
37 Replies
8K Views
mimi ni mmoja kati ya mashabiki wa Afande selle, huwa nakunwa sana na mashahiri ya huyu jamaa ktk tungo zake, pia leo nimemkumbuka kwa vile kuna jamaa yangu kanisimulia story moja inayofanana na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hizi ni nyimbo mpyampya (kuanzia mwakajana hadi sasa) ambazo zikipigwa mahali popote lazima nitikise kichwa; 1. Kanyaboya---Mesen Selecta 2. Nimempata---Pam D ft Mesen 3. Chelewa---Navy Kenzo...
0 Reactions
23 Replies
19K Views
Bandugu, Naomba kwa mwenye nyimbo zifuatazo anisaidie namna ya kuzipata (preferably online maana ukiniambia niende Mtaa wa Kongo ama Buguruni sitaweza maana nipo ughaibuni): Sanza Misato (Shaba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wale mliofika bagamoyo mtakua mnaifahamu club matata inaitwa lusona ndani ya milenium hotel.ni club ambayo imekua maarufu sana ambapo kila mwisho wa wiki utawakuta watu maarufu kibao kama...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Wadau msaada nataka nitumie sm yangu ku download movies
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kuna baadhi ya nyimbo ni kali sana hlf zina bonge la meseji km hii click the link https://www.youtube.com/watch?v=5y_KJAg8bHI
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I've waited for this coming April....Lord knows how long man. 3 main reasons: I love them series man, from the 1st one. I would really love to see how James Wan did it. Binafsi simwamini...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Currently niko Bukoba, jana pasaka kulikuwa na mashindano ya kushake na kuimba maeneo ya beach, msanii Songa wa Tamaduni Music na M-Rap walikuwa na show kwenye Club moja maarufu huku, wakaja...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Naweza kusema haya ni mapinduzi ya kweli katika bongo fleva big up KIBA. kwa hili la kupi show pale DAR LIVE kwa LIVE BAND kweli umetisha kaka huu ni mfuniko kwa wasanii wote tunaowajua akiwemo...
4 Reactions
52 Replies
6K Views
Salamu wakubwa, nilikuwa nauliza kwa aneweza kunisaidia kuupata wimbo wa tanzania umeimbwa na wahindi ni wa kitambo kidogo, mbaya zaidi siujui hata jina lake, tbc taifa ndio wanaoupiga mara...
0 Reactions
13 Replies
11K Views
Back
Top Bottom