Killi Music Awards

Luvanga1

JF-Expert Member
Jun 5, 2014
2,025
1,701
Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) kwa kushirikiana na Kilimanajaro Premium Lager leo wametangaza rasmi wateule (Nominees) wa vipengele 32 vya tuzo za Muziki Tanzania (Kilimanjaro Tanzania Music Award).

4K0A0490.jpg Mratibu wa tuzo za muziki kutoka BASATA, Maregesi akitangaza majina akiwa pamoja na mwakilishi wa AUDITAX International, Pavel Gabriel na Pamela Kikuli, meneja wa Bia ya Kilimanjaro

Mchakato wa kuanza kupiga kura kwa kutumia njia zilezile ili kuchagua mshindi kwa kila kipengele utaanza tarehe 4 May 2015 hadi June 5, 2015.

1. MTUMBUIZAJI BORA WA MUZIKI WA MWAKA- KIUME1 MZEE YUSSUF
2 CHRISTIAN BELLA
3 DIAMOND PLANUMZ
4 ALLY KIBA
5 NYOSHI EL SAADAT

2.MTUMBUIZAJI BORA WA MUZIKI WA MWAKA- KIKE
1 VANESSA MDEE
2 KHADIJA KOPA
3 ISHA MASHAUZI
4 SHAA
5 DAYNA NYANGE

3.MWIMBAJI BORA WA KIUME- TAARAB
1 MZEE YUSSUF
2 PRINCE AMIGO
3 HASSAN VOCHA
4 HASSAN ALLY
5 MUSSA KIJOTI

4. MWIMBAJI BORA WA KIUME- BONGO FLEVA
1 ALI KIBA
2 BEN POL
3 JUX
4 DIAMOND
5 BELLE 9

5.MWIMBAJI BORA WA KIUME- BENDI
1 JOSE MARA
2 KALALA JUNIOR
3 KHALIDI CHOKORAA
4 CHAZ BABA
5 NYOSHI EL SADAT

6.MWIMBAJI BORA WA KIKE- TAARAB
1 KHADIJA KOPA
2 ISHA MASHAUZI
3 HADIJA YUSSUF
4 LEIYLA RASHID
5 FATUMA NYORO

7.MWIMBAJI BORA WA KIKE – BONGO FLEVA
1.LADY JAY DEE
2.VANESSA MDEE
3.LINAH
4.GRACE MATATA
5.MALAIKA

8.MWIMBAJI BORA WA KIKE - BENDI
HIKI KIMEKOSA MTU

9.WIMBO BORA WA TAARAB
1 HASID HANA SABABU-HADIJA YUSSUF
2 LADY WITH A CONFIDENCE-KHADIJA KOPA
3 CHOZI LA MAMA-MZEE YUSUPH
4 FANYA YAKO-LEYLA RASHID
5 MAPENZI HAYANA DHAMANA-ISHA MASHAUZI

10.WIMBO BORA WA MWAKA
1 MWANA -ALI KIBA
2 NANI KAMA MAMA -CHRISTIAN BELLA FT OMMY DIMPOZ
3 GERE -WEUSI
4 NITASUBIRI -JUX
5 BONGO HIP HOP -FID Q

11.WIMBO BORA WA KISWAHILI (BENDI)
1 OTILIA-FM ACADEMIA
2 KIU YA HAKI-MASHUJAA BAND
3 SAUTI YA MAREHEMU-MAPACHA WATATU
4 GANDA LA MUA-THE AFRICAN STARS (TWANGA PEPETA)
5 WALE WALE-VIJANA NGWASUMA

12.WIMBO BORA WA R&B
1 NITASUBIRI -JUX
2 UNANICHORA -BEN POL
3 VITAMIN MUSIC -BELLE 9 FT JOH MAKINI
4 SISIKII -JUX
5 NI PENZI -DAMIAN SOUL

13.WIMBO BORA WA HIP HOP
1 BONGO HIP HOP -FID Q
2 MFALME -MWANA FA FT GNAKO
3 KIPI SIJASIKIA -PRO J FT DIAMOND
4 GERE -WEUSI
5 I SEE ME -JOH MAKINI
6 XO -JOH MAKINI FT GNAKO

14. WIMBO BORA WA REGGA/DANCE HALL
1 LET THEM KNOW-MAUA
2 MAMA AFRIKA -WARRIORS FROM THE EAST
3 MAISHA MAGUMU-WARRIORS FROM THE EAST
4 GREETINGS FOR YOU-RAS SIX
5 TUJIMWAGE-DEDDY

15.RAPA BORA WA MWAKA (BENDI)
1 FERGUSON
2 MSAFIRI DIOUF
3 SAUTI YA RADI
4 J4
5 KABATANO

16.MSANII BORA WA HIP HOP
1 FID Q
2 JOH MAKINI
3 MWANA FA
4 PROFESSOR JAY (PROF J)
5 ROMA

17.WIMBO BORA WA AFRIKA MASHARIKI
1 SURA YAKO -SAUTI SOL
2 KIOO -JAGUAR
3 WALEWALE -JOSE CHAMILION
4 PROKOTO -VICTORIA KIMANI FT DIAMOND,OMMY DIMPOZ
5 SHOW -VICTORIA KIMANI

18.MTUNZI BORA WA MWAKA- TAARABU
1 MZEE YUSSUF
2 THABITI ABDUL
3 ISHA MASHAUZI
4 ABDALLAH FERESHI
5 HASSAN ALLY

19.MTUNZI BORA WA MWAKA- BONGO FLEVA
1 ALI KIBA
2 DIAMOND
3 BEN POL
4 BARNABA
5 JUX

20.MTUNZI BORA WA MWAKA- BENDI
1 JOSE MARA
2 NYOSHI EL SAADAT
3 ROGART HEGGA KATAPILA
4 HUSSEIN JUMBE
5 RICHARD MANGUSTINO

21.MTUNZI BORA WA MWAKA- HIP HOP
1 FID Q
2 MWANA FA
3 JOH MAKINI
4 NIKKI WA PILI
5 KALAH JEREMAYAH

22.MTAYARISHAJI (PRODUCER) BORA WA NYIMBO WA MWAKA - BONGO FLEVA
1 NAHREEL
2 MAN WATER
3 MESEN SELEKTA
4 TUDD THOMAS
5 MARCO CHALI

23.MTAYARISHAJI (PRODUCER) BORA WA NYIMBO WA MWAKA- TAARAB
1 ENRICO
2 MARLON LINJE

24.MTAYARISHAJI (PRODUCER) BORA WA NYIMBO WA MWAKA- BENDI
1 ALLAN MAPIGO
2 ENRICO
3 SAID COMORIEN
4 AMOROSO
5 ABABUU MWANA ZANZIBAR

25.VIDEO BORA YA MUZIKI YA MWAKA
1 MDOGO MDOGO-DIAMOND
2 NITAMPATA WAPI-DIAMOND
3 MWANA-ALI KIBA
4 OLETHEMBA-LINAH
5 ASANTE-AY

26.WIMBO BORA WA AFRO POP
1 MWANA -ALI KIBA
2 MDOGO MDOGO-DIAMOND
3 NISEME -YAMOTO BAND
4 NITAKUPWELEPWETA -YAMOTO BAND
5 KANYA BOYA- MESEN SELEKTA
6 HAWAJUI -VANESSA MDEE

27.WIMBO BORA WA ZOUK/RHUMBA
1 NANI KAMA MAMA -CHRISTIAN BELLA FT OMMY DIMPOZ
2 BASI NENDA -MO MUSIC
3 NITAMPATA WAPI -DIAMOND
4 NASIMAMA -LADY JAY DEE
5 HISTORIA -LADY JAY DEE

28.WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA ASILI YA KITANZANIA
1 WAITE-MRISHO MPOTO FT FELLY KANO
2 VUMA-VITALIS MAEMBE
3 TUMETOKA MBALI-JAGUAR MUSIC
4 MAMA SHABANI-IFA BAND
5 OMWANA-B.K.SANDE

29.MSANII BORA CHIPUKIZI ANAYEIBUKIA
1 BARAKA DA PRINCE
2 BEKA TITTLE
3 AFROMANIAC
4 ALICE
5 BIILLNAS

30.WIMBO BORA WA KUSHIRIKISHWA/KUSHIRIKIANA
1 FOREVER -LADY JAY DEE FT DABO
2 MFALME -MWANA FA FT GNAKO
3 KIPI SIJASIKIA -PROF J FT DIAMOND
4 KIBOKO YANGU -MWANA FA FT ALI KIBA
5 KEREWA -SHETTA FT DIAMOND

31.BENDI BORA YA MWAKA
1 FM ACADEMIA
2 THE AFRICAN STARS (TWANGA PEPETA)
3 MAPACHA WATATU
4 MASHUJAA BAND
5 MSONDO NGOMA MUSIC BAND

32.KIKUNDI BORA CHA MWAKA- TAARAB
1.JAHAZI MODERN TAARAB
2.MASHAUZI CLASSIC
3.DAR MODERN TAARAB
4.FIVE STARS
5.WAKALI WAO MODERN TARADANCE

33.KIKUNDI BORA CHA MWAKA- BONGO FLEVA
1 YAMOTO BAND
2 WEUSI
3 NAVIKENZO
4 MAKOMMANDO
5 B.O.B
 
Oyoooooo.Na hizi tuzo za mwaka huu ndio most awaited awards!
Njooni sasa tuanze kujiandaa kupiga kura wakati utakapofika. Mdakuzi Matola Avemaria atoto geniveros cute b Abou Saydou Athen Diva Beyonce lukelo sakafu mnyepe na Kiba fans wote.

So bad Yamoto band wamepata nominations mbili tu japo wametamba sana mwaka huu.
Too bad kwa Rich Mavoko pamoja na kujitahidi sana ila sijaona akipata nominations hata 1! Wimbo wa pacha wangu na video yake vilistahili hata kupata tuzo moja!
 
So bad Yamoto band wamepata kipengele kimoja tu japo wametamba sana mwaka huu.
Too bad kwa Rich Mavoko pamoja na kujitahidi sana ila sijaona akipata nominations hata 1! Wimbo wa pacha wangu na video yake vilistahili hata kupata tuzo moja!

Yamoto band wanabeba tuzo hawa watoto n shiiida mtaan
 
1430309579880.jpg 1430309590833.jpg

Lady jaydee dada yako siku zote uongo hupanda lifti na ukweli hupanda ngazi, usikate tamaaa hata kama wamedhamilia kukushusha.
 
Uonevu mkubwa kwa YAMOTO BAND na RICH MAVOCO, Upendeleo mkubwa kwa JUX. Hivi Roma amehit na wimbo gani hadi kuingia kwenye mwanahiphop bora wa mwaka? Shilole kasahaulika kabisa, ingawa simpendi ila kafanya vizuri kwa upande wa wanawake.Billnas kawekwa kwenye upcoming artist halafu Mo Music kakosekana? Hivi hawa waandaaji wanapofanya nomination wanakuwa wamekunywa bangi?Nitaendelea.....
 
Nimesoma mahala watu wanamlalamikia Diamond kwanini hakujitangaza eti kuwania tuzo hizo...akijitangaza anasemwa....asipo anasemwa...wow...jamani labda kaachia na wengine wafanye yao.

Haya uwanja wenu kuwavotia sasa.

Yes jamani Yamoto band wamefanya makubwa mwaka Jana.

Kwani nani amechagua majina hayo wananchi au waandaaji?
 
belle9 kila mwaka anakwepo lakini hawampi.

Jide mwaka Jana si alizikandia hizo awards !!

huyo billnass ndo nani hadi ampiku no music?

hivi rich mavoco hata hizo hastahili??

kill music bure kabisa
 
Last edited by a moderator:
Yes jamani Yamoto band wamefanya makubwa mwaka Jana.

Kwani nani amechagua majina hayo wananchi au waandaaji?

Wanao pendekeza majina hayo ni wananch ila waandaaji wana asalimia ndogo sana katka kuteua majina hayo
 
MO MUSIC yupo bana kipengele cha 27.WIMBO BORA WA ZOUK-RHUMBA yupo namba 2
 
Hapo ni kujiandaaa tu kupiga kura kwa fujo basi Yamoto band mbona wametamba na nyimbo zaidi ya moja wamewekwa kwenye category moja tu.

Umeona eeh? Ni kupiga kura kwa fujo zote ngoja tu muda ufike.

Hapo sasa,ila si bora Yamoto vipi Rich Mavoko? Sio fair kabisa.
 
So bad Yamoto band wamepata kipengele kimoja tu japo wametamba sana mwaka huu.
Too bad kwa Rich Mavoko pamoja na kujitahidi sana ila sijaona akipata nominations hata 1! Wimbo wa pacha wangu na video yake vilistahili hata kupata tuzo moja!
mbona mi nawaona vipengele viwili!?
 
mbona mi nawaona vipengele viwili!?

Vipengele viwili kwa nani? Yamoto band au?
Ngoja niangalie tena.
↓↓↓↓↓↓

Hakuna kipengele kingine zaidi ya kimoja kwa Yamoto band.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom