Kitena
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 339
- 255
wapendwa wakubwa habari za majukumu.
Mimi binafsi ni mpenzi sana wa miziki ya legge, hasa hasa lucky dube ila sijajua tokea kufariki kwake kama ile bendi inaendelea kutoa burudani au la na kama ipo kuna single yeyote walioachia hewa na inaitwaje.
Msaada tafadhali kwa wanaofahamu
Mimi binafsi ni mpenzi sana wa miziki ya legge, hasa hasa lucky dube ila sijajua tokea kufariki kwake kama ile bendi inaendelea kutoa burudani au la na kama ipo kuna single yeyote walioachia hewa na inaitwaje.
Msaada tafadhali kwa wanaofahamu