big result now
Senior Member
- Sep 8, 2013
- 107
- 70
Toka siku ya kwanza nausikia wimbo wako wa Crazy,nilijua ipo siku wapenda burudani watakuelewa,hiyo ilikuwa 2012 nikiwa moshi na ulifanya wimbo huu na noda,then later on u featured Mwana Fa on the same song,that was the very huge step in your career,baada ya hapo ulitoa sijiwezi pamoja na let them know,binafsi nazipenda japo nakir hazikupata air time ya kutosha,ila upo vizur na una kipaji kikubwa sana Maua.
Yesterday i saw your new song named THIS LOVE,this time around u featured Ben paul,ni wimbo mzur sana na nimeupenda mno,kama una management wafanye kitu juu ya promo,wewe ni zaid ya hao tunaoaminishwa ni bora kwa nguvu ya promo,simpigii promo maua ila kama mtu haujausikia huu wimbo ingia youtube search this love by maua ft ben paul afu urudi uje uniambie kuhusu ubora wa huu wimbo.
I see good omen,keep doing what you do best
Yesterday i saw your new song named THIS LOVE,this time around u featured Ben paul,ni wimbo mzur sana na nimeupenda mno,kama una management wafanye kitu juu ya promo,wewe ni zaid ya hao tunaoaminishwa ni bora kwa nguvu ya promo,simpigii promo maua ila kama mtu haujausikia huu wimbo ingia youtube search this love by maua ft ben paul afu urudi uje uniambie kuhusu ubora wa huu wimbo.
I see good omen,keep doing what you do best