Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Jana nilikua mmoja kati ya Watanzania wachache tuliopata mualiko wa kuhudhuria ugawaji wa Tuzo za Kilimanjaro Music Awards. Kwanza niwapongeze Organization nzima ya KTMA wakishirikiana na...
3 Reactions
18 Replies
6K Views
read the full article here https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/868639-diamond-platnumz-assists-fellow-tanzanian-artists-to-the-next-level.html
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Matokeo ya KTMA Alikiba amechukua tuzo-5 Diamond 2. Mzee Yusuf-3. Vanesa Mdee- 2. Profesa Jay-1. Jose Mara-2. Jux-1. Joh Makini-2. MwanaFA-1. Baraka de Prince-1. Nahreel-1. Kweli Alikiba...
0 Reactions
375 Replies
47K Views
The King Ally Kiba fans' special thread, Tujumuike hapa (11,191) »( ... Last Page) Diamond Platinumz fans' special thread: Njooni tukutane hapa (4,735) »( ... Last Page) hata kwa hili...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Msanii wa stand up comedy wa Uganda ameamua kuhamasisha vijana kujiandikisha kuweza kupiga kura 2016. http://www.youtube.com/watch?v=svczp7WH9V0&sns=em
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Huyu jamaa ni kiboko na ni mbunifu asiye na mpinzani na kanivutia mpaka siku hz nahudhulia kanisani kila juma pili kutokana na ubunifu wake wa kupiga kinanda kwa kutumia tune za za makabila na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Nimeguswa mno na hii hali ya utimu inayoendelea. Nini chimbuko la hizi teams? Nani ni mchochezi kati ya wahusika na mashabiki? Wahusika wamewahi toa tamko lolote kuhusu...
5 Reactions
36 Replies
6K Views
These kids are the real deal. Since the release of 'Yamoto' (their best tune to date, in my opinion) they have consistently raised their game up in all facets of their music - composition...
3 Reactions
20 Replies
9K Views
Kiukweli nasikia harufu na kila dalili za ugomvi uliosabisha kifo cha Tupac na B.I.G kutokea hapa TZ kwa ali kiba na Diamond. Kwasabu ya chuki zilizopandikizwa na Wanawake(Wema na Jokate) Kuna...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
#Repost Well Nimekuwa nikipokea maswali na Comment nyingi eti kwanini sitangazi vipengele vyangu vya Tunzo watu wanipigie kura...tafadhali naomba mniskilize kwa umakini: "Ikiwa MOE MUSIC...
2 Reactions
331 Replies
43K Views
Kweli Mungu akisema ndiyo hapana wa kusema Hapana. Hili ni somo kwa jirani zetu #TeamJuiceMalimao . Hiyo ni Texas usiku wa leo, ni live show bila cd sio kama yule msanii wa kimataifa...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
kati ya hawa watangazaji nani mkali? nani wakumbali?
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Usiku wa jana, Juni 13,2015 hapa nchini ulishuhudiwa utoaji wa tuzo mbali mbali kwa wasanii wetu hapa nchini. Ningependa kuwasifu KTMA na BASATA kwa uwezo wao wa kujaji nani apewe tuzo fulani...
4 Reactions
26 Replies
6K Views
Hakuna ubishi kua kwa sasa diamond platnumz ndie msanii anae ongoza kupigwa vita kuliko msanii yeyote hapa nchini. Vita hiyo ina ongozwa na baadhi ya walio wahi kuwa wapenzi wake pia na...
14 Reactions
202 Replies
23K Views
Kwa wapenzi wa muziki wa Bongo Fleva, usiku wa leo ndio utakuwa na ushindani mkubwa katika katika kinyang’anyiro cha Tuzo za Muziki za Kilimanjaro 2015. Sherehe za utoaji tuzo hizo zitafanyika...
0 Reactions
165 Replies
15K Views
Huu wimbo ni staili kama ya R&B , naupenda ila sijui ni wanani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana kulikuwa na utoaji tuzo za kilimanjaro music awards. Napenda kuwapa pongezi waandaaji wa tuzo hizo kwani zimetolewa kwa haki kabisa kwa kila aliyestahili.hamna aliyeonewa kwa wanaofikiri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hamna kitu kimenifurahisha kama Kusikia ally kiba ni mtunzi bora zaidi ya Barnaba!!!... barnaba anayetunga nyimbo zake, za vanessa mdee pamoja na hii nyimbo inayotamba san ya Ruby...anapitwa na...
9 Reactions
70 Replies
7K Views
Je ni kila mtindo unaopigwa na masharo baro au ni muziki wa dansi wa kiswahili uliokolezwa bila vyombo halisi?(Muziki wa kutengeneza kwenye computer?) Ni kawaida kukuta muziki wa Kwaito ukiimbwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba nianze kwanza na hichi kipengere,iv kuna mtumbuizaji bora apa bongo zaidi ya diamond kweli? Na kama wanaangalia show basi Chibu is da best kabisa,kwa mwaka huu Kiba sidhani kama alikuwa...
2 Reactions
57 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…