Masuala ya Media.

Masuala ya Media.

Brother Kaka.

Member
Joined
May 11, 2015
Posts
66
Reaction score
32
Habarini wakuu.
Nimesomea masuala ya Lugha ya Kiingereza na Kiswahili.
Na nina interest kubwa katika utangazaji wa redio na Tv.

Kwa anayefahamu utaratibu wa mtu kuweza kupata nafasi ya kujitolea katika vituo vya redio/TV hapa Dar naomba anijuze,
Au anidirect katika kituo husika.

Sichagui kituo, kiwe kikubwa, kidogo, kikongwe au kichanga,
Nitajotolea kwa moyo wote na kudhihirisha uwezo na kipaji nilicho nacho.

Shukrani kwenu wakuu.
 
Back
Top Bottom