Kwa wapenzi wa muziki wa Bongo Fleva, usiku wa leo ndio utakuwa na ushindani mkubwa katika katika kinyanganyiro cha Tuzo za Muziki za Kilimanjaro 2015.
Sherehe za utoaji tuzo hizo zitafanyika...
Jana kulikuwa na utoaji tuzo za kilimanjaro music awards.
Napenda kuwapa pongezi waandaaji wa tuzo hizo kwani zimetolewa kwa haki kabisa kwa kila aliyestahili.hamna aliyeonewa kwa wanaofikiri...
Hamna kitu kimenifurahisha kama Kusikia ally kiba ni mtunzi bora zaidi ya Barnaba!!!... barnaba anayetunga nyimbo zake, za vanessa mdee pamoja na hii nyimbo inayotamba san ya Ruby...anapitwa na...
Je ni kila mtindo unaopigwa na masharo baro au ni muziki wa dansi wa kiswahili uliokolezwa bila vyombo halisi?(Muziki wa kutengeneza kwenye computer?)
Ni kawaida kukuta muziki wa Kwaito ukiimbwa...
Naomba nianze kwanza na hichi kipengere,iv kuna mtumbuizaji bora apa bongo zaidi ya diamond kweli?
Na kama wanaangalia show basi Chibu is da best kabisa,kwa mwaka huu Kiba sidhani kama alikuwa...
Sikatai kiba anajua mziki lakin hajathubutu n diamond anajua na amethubutu,Ubora wa Aly kiba ni ukongwe kwenye game bt diamond anajua nini anachokifanya ndomana kwa sasa anajulikana kimataifa...
Nimejaribu kuziangalia mara kadhaa hizi terminator trilogy kama, terminator, judgment days, rise of machines, salvation na trailer la Genesis(coming soon).
Idea kubwa ktk movie ni time travel na...
Naomba kwanza kwa ngebe.....majigambo....mbwembwe .......heshima......taadhima.......misifa........nyodo ......na ufahari mkubwa kutamka wazi kuwa mimi ni "die hard" and "true fan" wa muziki wa...
Ndugu yenu kiba hana uwezo ila kwakuwa hamkuwa na kazi ya kufanya kupanga matokeo tofauti na yanavyotakiwa kupangwa Ipo siku uwezo wa mond utaonekana wazi tu mana watz walio wengi hawapend...
Instagram hapatoshi, anayejiita ze kingi of all sosho media in Tz anatumia nguvu nyingi sana kupinga matokeo ya ushindi wa tuzo za watu wa King Kiba kwa kutupilia mbali na kudharau taratibu za...
==== Kutohudhuria kwa Lady Jay Dee na Mzee Yusuph ============
Yaani hawa watu wawili wanadharau sana,tena huyu JIDE ndo haswaa kila mwaka siku ya tuzo haji anaagiza watu tu wamchukulie tuzo...
Sitaki kuamini kwamba Tuzo hizi zina upendelea.
Naamini kwamba tuzo zimetokana na jitihada binafsi za washiriki.
Binafsi ningependa kuwapa Pongezi za kutosha kwa viongozi wote wa #TeamKiba .
Ndugu wanaJF,utakubaliana na mim kwamba siku hiz mziki umehama toka kwenye uhalisia na umebaki kuwa mziki wa makundi.Washabiki wa mziki tumekuwa hatuangalii tena ubora au mapungufu ya kaz ya...
Haiingii akilini wimbo uliotoka mwezi Novemba na kutamba miezi miwili,ushindanishwe na wimbo uliotoka mwezi Machi na kutamba miezi kumi ktk mwaka husika.Ndio maana wasanii wapenda tuzo wanatumia...
VERSE 1.
Alikuwa binti mzuri,
Enzi akiishi na babake,
Alipendwa sana,
Coz alimpata kwa shida,
Alipendeza kwa mavazi kila siku ukimuona,
Alivaa black shoes,
Iliyolandana na ngozi yake...
Hii imeandikwa instagram na Le Mutuz aliyepata mtonyo kuwa TBL wameambiwa wakae pembeni. Inabidi usome viambatanyisho hapa kupata habari zaidi
Hii inasikitisha kuwa BASATA wanafanya haya...
Ali Kiba amemfunika Shilole huko USA baada ya show yake kupata watu wasiozidi 30. Msanii huyu mwenye tuzo ya watu ambaye alitangaza kutopiga tena show za playback, lakini show hii aliimba juu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.