Msanii huyo wa bongo fleva na mshindi wa KTMA 2014/15 Ali Kiba amesema hayo alipo ongea katika kipindi cha Leo tena cha Clouds Fm yeye hana nguvu kuzizuia timu za watu kwenye mitandao ya kijamii...
siku ya jana kiba alifanya jambo ambalo si la kawaida kwa wasanii wengi.aliamua kuzunguka kwenye madalala ili aweze kuongea na mashabik wake. alianzia mbagala mpaka posta, kisha posta mpaka gongo...
Milard ayo unataka kuniambia huna habari zozote kuhusu MTV AWARD na hujui Diamond na Vanesa Mdee ni nominees kutoka Tanzania..... au ndio mambo ya bifuuuuuu
mbona blog nyingine zinaendelea...
Meneja wa Diamond Platinumz amenena kuchukizwa na kitendo cha Kampuni ya Rockstar 4000 kujitambulisha iTunes kama wauzaji wa nyimbo za Diamond Platinumz. Meneja huyo amedai kuwa wao hawana mkataba...
Hulk Share - Music Distribution Platform
Bonge la harakati sikiliza vijana.Ninaamini hawana chama lakini ukiwasikiliza kwa sababu wameimba vitu vya kweli moja kwa moja utahisi wana kadi za Chadema...
T.I.D ni miongoni mwa wasanii wa muziki wa bongofleva wanao tajwa kama watumiaji wa " Dawa haramu za kulevya " ( PLEASE HAPO KWENYE 'DAWA HARAMU ZA KULEVYA' SOMA KWA SUATI...
Hii ni mahususi kwa wale wote ambao walikuwa na shauku kubwa ya kutaka kumjua 'Jimmy Mcmelle' ni mtu wa aina gani, maana nimepitia Comment nyingi za watu huku wengi wao wanaonekana wanafuata...
This is a special exclusive to those who have not heard about this new young talent "DREAM".Now he has released a very hit song called "TUFURAHI" which is now soothing the airwave.Everyone who has...
Wakuu huyu msanii level nyingine kabisa karibu kila wimbo alioimba mwaka 2014 hata za kushirikishwa zimekuwa nominated kwenye tuzo za killi music award. Mfano wa hizo nyimbo ni;
1.gere-joh, nick...
Please kwa anaeufahamu huu mkoa naomba anisaidie kuniambia kama lindi kuna sehem gani za kitalii , sehem gani za burudani ili siku niende kama vp. thanks
Heading inajieleza, namaanisha kwa jinsi watanzania tusivyopenda mtanzania mwenzetu atuzidi saana, yaani kama kutuzidi atuzidi kidogo tu, aendelee kuwa wa kawaida.
Naamini kabisa kwa tabia hii...
Mashabiki tunatoa support kubwa kwa wasanii kuliko tunavyo fikiri..
Kuna baadhi ya wadau naona wanarukaruka hili lakini unapozungumzia mafanikio ya mwanamziki asilimia kubwa sana ni sisi kwa...
Jamani wanajamii wenzangu naomba MwanaJamii yoyote ambaye anajua ama alishafatilia mmiliki wa website ya Bongo5.
Maana kwa tafiti chache niliyofanya inaonesha wazi Clouds Media Group wana ubia...
Sikiliza nyimbo ya ACT inayofafanua vizuri malengo ya ACT.
ACT inandelea kukua na kuchapa kazi.
Muda ni huu wa kujiunga na chama kinachoipigania Tanzania bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.