Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakirudiana itakuwa poa zaidi, couple yao inawapendeza zaidi. Rihanna & Chris Brown Love: Only Man She Totally Connected With - Hollywood Life
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna kijana wangu anapenda sana music hasa wa gospel, tayari ameweza kuwa na nyimbo zake ambazo zinavutia, Sasa anatafuta promoter. Nisaidieni Natanguliza shukrani kwa niaba yake
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani, Ben Pol can sing. Yani anasisimua sana na kipaji chake. Aliwahi kusema kati ya simu kumi anazopokea, nane ni za kuombwa kupiga chorus. Hao watu wanaona anavyoimba vizuri ndo maana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nani Ana Wimbo Wa At Ft Alikiba Jina La Wimbo Usikomae Nae Anisaidie Kupata
0 Reactions
2 Replies
4K Views
mangi umeua! eti ndorobo!
5 Reactions
67 Replies
16K Views
Toka ajiite mwamba wa kaskazini, toka aseme hayupo next level Bali level yake mwenyewe....Joh Makini amekuwa akipanda siku baada ya Siku. Na siri kubwa ninayo iona Kwa Hawa weusi ni kwamba...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Jana nilikua mmoja kati ya Watanzania wachache tuliopata mualiko wa kuhudhuria ugawaji wa Tuzo za Kilimanjaro Music Awards. Kwanza niwapongeze Organization nzima ya KTMA wakishirikiana na...
3 Reactions
18 Replies
6K Views
read the full article here https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/868639-diamond-platnumz-assists-fellow-tanzanian-artists-to-the-next-level.html
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Matokeo ya KTMA Alikiba amechukua tuzo-5 Diamond 2. Mzee Yusuf-3. Vanesa Mdee- 2. Profesa Jay-1. Jose Mara-2. Jux-1. Joh Makini-2. MwanaFA-1. Baraka de Prince-1. Nahreel-1. Kweli Alikiba...
0 Reactions
375 Replies
47K Views
The King Ally Kiba fans' special thread, Tujumuike hapa (11,191) »( ... Last Page) Diamond Platinumz fans' special thread: Njooni tukutane hapa (4,735) »( ... Last Page) hata kwa hili...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Msanii wa stand up comedy wa Uganda ameamua kuhamasisha vijana kujiandikisha kuweza kupiga kura 2016. http://www.youtube.com/watch?v=svczp7WH9V0&sns=em
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Huyu jamaa ni kiboko na ni mbunifu asiye na mpinzani na kanivutia mpaka siku hz nahudhulia kanisani kila juma pili kutokana na ubunifu wake wa kupiga kinanda kwa kutumia tune za za makabila na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Nimeguswa mno na hii hali ya utimu inayoendelea. Nini chimbuko la hizi teams? Nani ni mchochezi kati ya wahusika na mashabiki? Wahusika wamewahi toa tamko lolote kuhusu...
5 Reactions
36 Replies
6K Views
These kids are the real deal. Since the release of 'Yamoto' (their best tune to date, in my opinion) they have consistently raised their game up in all facets of their music - composition...
3 Reactions
20 Replies
9K Views
Kiukweli nasikia harufu na kila dalili za ugomvi uliosabisha kifo cha Tupac na B.I.G kutokea hapa TZ kwa ali kiba na Diamond. Kwasabu ya chuki zilizopandikizwa na Wanawake(Wema na Jokate) Kuna...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
#Repost Well Nimekuwa nikipokea maswali na Comment nyingi eti kwanini sitangazi vipengele vyangu vya Tunzo watu wanipigie kura...tafadhali naomba mniskilize kwa umakini: "Ikiwa MOE MUSIC...
2 Reactions
331 Replies
43K Views
Kweli Mungu akisema ndiyo hapana wa kusema Hapana. Hili ni somo kwa jirani zetu #TeamJuiceMalimao . Hiyo ni Texas usiku wa leo, ni live show bila cd sio kama yule msanii wa kimataifa...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
kati ya hawa watangazaji nani mkali? nani wakumbali?
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Usiku wa jana, Juni 13,2015 hapa nchini ulishuhudiwa utoaji wa tuzo mbali mbali kwa wasanii wetu hapa nchini. Ningependa kuwasifu KTMA na BASATA kwa uwezo wao wa kujaji nani apewe tuzo fulani...
4 Reactions
26 Replies
6K Views
Back
Top Bottom