Maisha ya mwanadamu ni kama maua, yanachanua na kunyauka....huyu mshkaji aliyekuwa askar magereza sijui aliibukia wap akapata hela kibao, akaishi maisha ya kifahari na anasa kibao, akimilika bonge la jumba lenye thamani ya bilion 5 na ushei, pamoja na kumiliki magari kadhaa ya kifahari. Akajaa kiburi akiamini yuko juu ya sheria, sasa mambo yamemgeuka, anakabiliwa na kesi ya kumteka na kumtesa mlinzi wake, kesi iko mahakamani, yuko nje kwa dhamana ya dola milion 2 pamoja na jumba lake la kifahari lenye thamani ya zaidi ya bil 5 Tsh.
Hata kama asipoenda gerezani atalazimika kulipa fidia kubwa kwani hiyo dhamana aliyoweka inareflect uzito wa kesi inayomkabili, poor Robert.....huenda alifikiri kuna wakubwa wanaoingoza Marekani ambao amekuwa akiwatumikia kama kibaraka, ''puppet ''wao kutimiza malengo yao kupitia muziki industry kwamba watamsaidia, maskini wamemtosa baada ya kuona he is useless for now make amegundulika kuwa na kansa ya tumbo, may be he is a dying person with shorter time to live, hata ukimwangalia crip zake za sasa you tube anatia huruma,uso umechookaa, siye yule Mastermind niliyekuwa namujua.
Hawa big fishes walishafikia hadi kumtumia Robert, Rick Ross kuimba ''DEVIL IS A LIE'' , mashairi yaliandikwa na Jay Z.
Sasa wamentosa baada ya kuona hana thamani tena, trust me, mshikaji ndio safari ya umaskini imeanza, The rise and fall of Rick Ross, the Boss, the Master mind...
Hata kama asipoenda gerezani atalazimika kulipa fidia kubwa kwani hiyo dhamana aliyoweka inareflect uzito wa kesi inayomkabili, poor Robert.....huenda alifikiri kuna wakubwa wanaoingoza Marekani ambao amekuwa akiwatumikia kama kibaraka, ''puppet ''wao kutimiza malengo yao kupitia muziki industry kwamba watamsaidia, maskini wamemtosa baada ya kuona he is useless for now make amegundulika kuwa na kansa ya tumbo, may be he is a dying person with shorter time to live, hata ukimwangalia crip zake za sasa you tube anatia huruma,uso umechookaa, siye yule Mastermind niliyekuwa namujua.
Hawa big fishes walishafikia hadi kumtumia Robert, Rick Ross kuimba ''DEVIL IS A LIE'' , mashairi yaliandikwa na Jay Z.
Sasa wamentosa baada ya kuona hana thamani tena, trust me, mshikaji ndio safari ya umaskini imeanza, The rise and fall of Rick Ross, the Boss, the Master mind...