Naomba kuwasiliana na Diamond katika masuala ya professional .Nahitaji nipate contact za uhakika za watu muhimu wanao simamia kazi zake hapa Tanzania kama (manager ,Press&Publicity officer, and...
Habari zenu wadau,
Ninapenda sana kujifunza mambo yanayohusu mziki, hii ni pamoja na kujifunza kupiga vyombo kama piano, drum na guitar
Lakini sifahamu ni maeneo gani naweza pata mafunzo kwa...
Mfano hawa kina Mark Zuckerburg (mmiliki wa FB whatsup, na Instagram) na wengine wanaingizaje kipato kwa kupitia hii mitandao wanayomiliki?
Maana hawa watu wamepata utajiri mkubwa kwa kupitia hii...
inaitwa cast away. imetoka 2000. mastaa ni Tom Hanks na Helen Hunt. Hank alikuwa anafanya kazi Fedex. katika safari zake ndege yao ilianguka bahari ya pacific. Hanks peke yake alipona na mawimbi...
​
For over twenty years, video director Hype Williams has been turning out four-minute fantasias for the biggest names in rap and R&B. With a fish-eye lens in one hand and a briefcase of...
Wadau sijaweka hii post kwa ubaya hapana, ila ni kuwakumbusha tu management ya Alikiba na mashabiki wake kwamba wanapaswa kufanya kazi ya ziada kumuuza kijana wao ili aweze kufanikiwa level za...
Habarini wandugu,
Hivi karibuni familia yangu imepata zawadi ya Keyboard kutoka rafiki yetu anayeishi nje, hivyo ningependa kufahamu kama kuna kituo cha kujifunza niweze kutumia muda wangu wa...
Habari wana ukumbi; kuna filamu iliyochezwa wahusika walikuwa 2 white men and black man (kibonge)ambopo Huyu black wakati wa mchezo alikatiza kwenye mto na mamba walimuuma mguu na akashindwa...
Well Nimekuwa nikipokea maswali na Comment nyingi eti kwanini sitangazi vipengele vyangu vya Tunzo watu wanipigie kura...tafadhali naomba mniskilize kwa umakini:
Ikiwa MOE MUSIC hakuonekana ni...
Kama leo yakifanyika mashindano ya BSS au Tusker project fame na mengineyo kama hayo, na washindani wakabaki wawili Diamond na Kiba basi nahakika pasi na shaka Alikiba ataibuka mshindi kwa maana...
Imevuja hatimaye star wa kubinua vitako vyake kushoto na kulia kwa staili ya Mchuchumio Daimond Platinumz a.k.a Nassib Abdul ameimba wimbo wa kutoa machungu ya kukimbiwa na aliyekuwa mpenzi wake...
GT tukumbushane nyimbo za zamani iwe za bongo au mbele, ladha tofauti, hip hop, raggae, ragga, rumba, zouk, soul, pop au R&b.
Sema wimbo unakukumbusha nini na wapi.
Kama hutojal tupia wimbo...
Wale Wakongwe Wenzangu Hasa Miaka Ya 80-90 Nadhani Huyu Mtu Mnamkumbuka Vizuri Jinsi Alivokua Kivutio Kwenye Sinema Za India Kama Ile Ya Tazan
Rest In Peace Kubwa La Maadui
This article has been largely inspired by Diamond Platnumz,East Africa's biggest music superstar whose success,overtures,fortunes and fame eclipses pretty much anyone else in this whole region's...
http://3.bp.blogspot.com/-unKvhhzCjrA/VXGx0a-moOI/AAAAAAAAQoI/B3A-kVGUp2I/s1600/1.JPG
Paul Njau
SHINDI wa mchezo wa kubahatisha wa Vodacom Jay Millions Danny Paul Njau kupitia jina la Innocent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.