Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hulk Share - Music Distribution Platform Bonge la harakati sikiliza vijana.Ninaamini hawana chama lakini ukiwasikiliza kwa sababu wameimba vitu vya kweli moja kwa moja utahisi wana kadi za Chadema...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
T.I.D ni miongoni mwa wasanii wa muziki wa bongofleva wanao tajwa kama watumiaji wa " Dawa haramu za kulevya " ( PLEASE HAPO KWENYE 'DAWA HARAMU ZA KULEVYA' SOMA KWA SUATI...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Hii ni mahususi kwa wale wote ambao walikuwa na shauku kubwa ya kutaka kumjua 'Jimmy Mcmelle' ni mtu wa aina gani, maana nimepitia Comment nyingi za watu huku wengi wao wanaonekana wanafuata...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
This is a special exclusive to those who have not heard about this new young talent "DREAM".Now he has released a very hit song called "TUFURAHI" which is now soothing the airwave.Everyone who has...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Baraza la sanaa tanzania wametangaza kua msanii yoyote atakae jitoa katika tuzo za ktma kwa sabab yoyote ile atafungiwa kaz ya muziki source:bongo5
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Wakuu huyu msanii level nyingine kabisa karibu kila wimbo alioimba mwaka 2014 hata za kushirikishwa zimekuwa nominated kwenye tuzo za killi music award. Mfano wa hizo nyimbo ni; 1.gere-joh, nick...
6 Reactions
133 Replies
19K Views
Tazama wimbo huu utabarikiwa jumapili ya leo...Bwana asifiwe http://m.youtube.com/watch?sns=fb&v=ap7-2QbhW2c
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Please kwa anaeufahamu huu mkoa naomba anisaidie kuniambia kama lindi kuna sehem gani za kitalii , sehem gani za burudani ili siku niende kama vp. thanks
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Heading inajieleza, namaanisha kwa jinsi watanzania tusivyopenda mtanzania mwenzetu atuzidi saana, yaani kama kutuzidi atuzidi kidogo tu, aendelee kuwa wa kawaida. Naamini kabisa kwa tabia hii...
3 Reactions
65 Replies
6K Views
Natafuta nyimbo ya best naso-ediga
0 Reactions
1 Replies
9K Views
Mashabiki tunatoa support kubwa kwa wasanii kuliko tunavyo fikiri.. Kuna baadhi ya wadau naona wanarukaruka hili lakini unapozungumzia mafanikio ya mwanamziki asilimia kubwa sana ni sisi kwa...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Jamani wanajamii wenzangu naomba MwanaJamii yoyote ambaye anajua ama alishafatilia mmiliki wa website ya Bongo5. Maana kwa tafiti chache niliyofanya inaonesha wazi Clouds Media Group wana ubia...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Mtaalam AY ameachia bonge la song. Wapiga shoo za mpwapwa waushuhudie.. =======
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sikiliza nyimbo ya ACT inayofafanua vizuri malengo ya ACT. ACT inandelea kukua na kuchapa kazi. Muda ni huu wa kujiunga na chama kinachoipigania Tanzania bora...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Nawaza tu joh makin kushindwa kupata tuzo ya wimbo bora wa hip hop.sasa huo utunzi bora kawazidije wenzake huku wao ndio wana nyimbo bora?
0 Reactions
33 Replies
6K Views
Hawa EATV wana matatizo gani? Inakuwaje watangazaji wake wazuri na MaDJ zake wazuri wote wanakuwa poached na Kampuni nyingine..? Kaondoka Adrian Kaondoka Mafuvu Leo kaondoka DJ D Ommy
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ile collabo mpya ya muimbaji wa Afrika Kusini, Donald na Diamond Platnumz ni mradi ambao Donald anauchukulia kwa uzito mkubwa, kiasi ambacho hajataka kuchelewesha sana mambo. Baada ya kuingia...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Je,wewe ni kijana mwenye kipaji cha sauti?Je sauti yako inaweza kutumika kurekodi matangazo ya redio?Kama jibu ni ndio,basi jiandikishe nasi leo ili ushiriki usaili wa sauti kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
896 Views
Wakirudiana itakuwa poa zaidi, couple yao inawapendeza zaidi. Rihanna & Chris Brown Love: Only Man She Totally Connected With - Hollywood Life
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom