Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

wana jf habarin hope you are fine.leo nataka tujuzane na tushee idea na kukumbushana nyimbo hizi kutoka katika visiwa vya carribean.nchi za visiwa vya carribean ni kama vile...
5 Reactions
77 Replies
11K Views
Nimeona vipande vya hii filamu ya wale wafanyakazi wa mgodini 33 waliofukiwa kipindi kile. Kifupi hii filamu inaonekana kali sana ila vipande viko you tube na hawajaweka full movie hivyo kwa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Its about time Bongo Gets a taste of good Music. We have many many rappers but very few poets. Media mediocrity trying to destroy hip hop. The fountains of wisdom are drying up, and all we hear is...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
mwenye kujua jina la wimbo huu anisaidie au kama kuna link yake naweza kuipata ntashkuru, wimbo huo ameimba jose mtambo ft roma & darasa, kuna mstar roma anasema 'rafiki wa mlinzi wa geti, ni...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu dhidi ya Clouds Media..Wasanii na watu mbalimbali wamekuwa wakiwatuhumu hawa jamaa kwa unyonyaji,ukandamizaji, uonezi n.k. Hata tumewahi kumsikia P funk kwa...
3 Reactions
54 Replies
10K Views
Kwanza nianze kutoa pongezi kwa msanii Alikiba kuimara wake kwenye game tangu arudi kufuta vumbi kiti chake. Secondly, Ifahamike kwamba mimi ni mtu mwenye mawazo huru, nina haki kupongeza...
4 Reactions
94 Replies
14K Views
Baraza la Sanaa nchini(BASATA) limeufungia wimbo wa Ney wa mitego unaoitwa 'shika adabu yako' kutokana na matumizi ya lugha chafu ndani ya wimbo huo. Akiongea leo na kituo maarufu cha redio...
4 Reactions
141 Replies
33K Views
Yes. A Sista..Aliitwa Rosetta Tharpe. She came before; Little Richard, Johnny Cash,Chuck Berry, Jerry Lee Lewis, Muddy Waters, Elvis Presley and the rest... In fact, wote walimpa credit zake , na...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Siwezi kununua godoro wakati nakesha napiga disco kwenye kumbi.
0 Reactions
1 Replies
723 Views
Hapo una kutana na wanamuziki kama hawa:- 1. VATA MOMBASSA JUJUMAN - (BAND LEADER - RYTHM GUITAR) 2. MBUMBIE MALANDA - (LEAD VOCAL) 3. KILOLA KITOKO KYANGANI - (VOCAL) 4. TONNERE MAZINZA -...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Msanii aliyeacha gumzo baada ya kupiga shoo Dar es salaam, karudi tena bongo na atapiga shoo Jijini Mwanza siku ya jmos, ikidhaminiwa na JEMBE NI JEMBE FM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naombeni mwenye wimbo wa Q chillah watu na maisha yao nitupie link au anipe msaada jinsi ya kuupata
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kupitia ukurasa wa Instagram Naytrueboy akanusha kua BASATA haijaufungia wimbo wa shika adabu yako walio ufungia ni walee walio chanwa ndani ya wimbo huo,,, ShikaAdabuYako
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Karibu mkuu, itueleze nyimbo au movie ambazo zilikugusa au zinakugusa zikiambatana na matukio ambayo huwezi yasahau. Yaani unazigawanya kama ifuatavyo: Juzi=ya zamani kabisa kwa upande wako...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Niona bora ku-share hizi hot tunes, maana hii mix ni balaa, humu ndani kuna Jah Cure, Zamunda, Chevaughn, JahMelia, Wayne Wonder, Lutah Fyah na wengineo karibu uburudike.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni wa afrika wachache sana wanaweza kufanya kitu kama hiki
0 Reactions
1 Replies
975 Views
niambie unakumbuka wapi na nini?Enjoy
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi nilikuwa ni mmoja wa watu waliokubali ushawishi mkubwa wa Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a. Sugu juu ya unyonyaji na negatives nyingine nyingi zinazofanywa na Redio hii dhidi ya wasanii. Tangu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
so far wasanii wengi sana wa hapa tz wanaimba songs zisizo na maana, na si hilo tu bali hata majisifu yasiyo na maana, FA kato wimbo wa Ameen na Ameen - Mwana FA ft Dully Sykes & AY | Muziki.net ...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wanajamvi,natamani tuinue na kukuza mziki wetu. Naomba tulitumie jukwaa hili kuwa impress wasanii wetu. Hapa tutafanya nini na nini? 1.Tutajadili kila wimbo mpya utakaokuwa ukitolewa na...
0 Reactions
2 Replies
838 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…