Navy Kenzo, Nahreel wanafanya vizuri sana

vampire_hunter007

JF-Expert Member
Jul 25, 2015
1,034
2,616
Habari wakuu,

Aisee leo nilikuwa nazurura zurura youtube nikajikuta napitia video moja moja ya hawa jamaa wanaojiita Navy Kenzo....Dah these guys are so under rated...The guys are not just good, they are awesome!

Wana hits kali sana hawa jamaa.. Nahreel ni mtu mmoja mbaya sana....Yani anatisha mbayaa...

Lakini mbona naona kama hawapati promo ya kutosha...Yani siwasikii wakizungumziwa mitaani...Hivi tatizo ni nini hasa..Maana kwa sasa hit songs almost zote ni mkono wa nahreel ispokuwa chache....Goma kama zigo la AY almost kila kitu kafanya Nahreel...

Madude kama Game na Kamatia chini, video zake ni level nyingine asee...Lakini views youtube hazijafika 1m....

Au ni huu ushabiki maandazi wa kibongo ndo unachangia?...Yani kisa wao hawako katika ile beef ya wale wawili? Au mnatutenga sie wa Arusha?

The Industry for life
 
mleta uzi ukisema uangalie views za youtube bs utasema kila msanii ana tatzo, inatakiwa uangalie wanapata airtime kiasi gani
 
Habari wakuu,

Aisee leo nilikuwa nazurura zurura youtube nikajikuta napitia video moja moja ya hawa jamaa wanaojiita Navy Kenzo....Dah these guys are so under rated...The guys are not just good, they are awesome!

Wana hits kali sana hawa jamaa.. Nahreel ni mtu mmoja mbaya sana....Yani anatisha mbayaa...

Lakini mbona naona kama hawapati promo ya kutosha...Yani siwasikii wakizungumziwa mitaani...Hivi tatizo ni nini hasa..Maana kwa sasa hit songs almost zote ni mkono wa nahreel ispokuwa chache....Goma kama zigo la AY almost kila kitu kafanya Nahreel...

Madude kama Game na Kamatia chini, video zake ni level nyingine asee...Lakini views youtube hazijafika 1m....

Au ni huu ushabiki maandazi wa kibongo ndo unachangia?...Yani kisa wao hawako katika ile beef ya wale wawili? Au mnatutenga sie wa Arusha?

The Industry for life
Hapo Nareel agonge Wema na Aika agongwe na Diamond ndio watajulikana fasta fasta :D views 2m youtube ndani siku moja
 
Strategy walokuja nayo kwenye game si ile ilozoeleka ya scandal so mziki wao unafanya vizuri mnoo lkn wao hawawi maarufu kupitiliza..
Wabongo tunataka mpaka waleak video yao wakiwa chumbani au nahreel apige lulu au aika atoke na kiba ndo wawe maarufu..
Kiufupi nawakubali na kuwaheshimu mnoo..
Wakiendelea na nidhamu hii watafika mbali zaidi maana nchi za nje kama sauzi na naija wanajulikana sana..
Na nilisikia kamatia chini ilikua nyimbo bora cjui ni naija au wapi kule
 
Yaani nashukuru na wewe ulinotice hichi, sema nahisi kwanza hawana scandle, the music industry ya sasa hivi bila kaji scandle hautoki
Pili wangeomba colabo mmoja na diamond, ingewa boost balaa.
Jamani Fan base ya diamond ni kubwa sana, imagine nyimbo ya Zigo ya diamond na Ay ina almost 4.8 million views na imetoka juzi tu.
Wakati Ay aliimba na sean kingston video hata views 500k haijafika.
 
Yaani nashukuru na wewe ulinotice hichi, sema nahisi kwanza hawana scandle, the music industry ya sasa hivi bila kaji scandle hautoki
Pili wangeomba colabo mmoja na diamond, ingewa boost balaa.
Jamani Fan base ya diamond ni kubwa sana, imagine nyimbo ya Zigo ya diamond na Ay ina almost 4.8 million views na imetoka juzi tu.
Wakati Ay aliimba na sean kingston video hata views 500k haijafika.
Sio scandals, chochote anachogusa Diamond kinakuwa Lulu, jaribu pita YouTube uone hata interviews zake zina view za kutisha. Niliangalia juzi interviews alizofanya DMarios na watu tofauti zina views elfu kidogo lkn alizofanya na Diamond pekee Ina zaidi ya 60K.
Na si kweli kuwa D Ana scandals kihivyo kulinganisha na wengine, hivyo madhani Ni mtu tuu na nyota yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom