Kamata chini kamatia chini....

Kamata chini kamatia chini....

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,450
Reaction score
32,290
Kiukweli kwa sasa ni bonge la video sioni wakumbana nao hawa jamaa waendelee kuwa wabunifu beat nzuri na kali kifupi wamejitahidi sna madansa nao wako vizur sna haichoshi kuingalia ni video bora kwa tz bana.....
 
Mkuu ikoje maana nimepita baa moja wakati wa pasaka nikakuta hicho kibao ...........kamata chini ooohh kamatia chini......duh
 
Yule mdada aliyebinuka na kuachia ustawi wa jamii tuuone ndiye alinikera kwa hiyo video
 
Mkuu ikoje maana nimepita baa moja wakati wa pasaka nikakuta hicho kibao ...........kamata chini ooohh kamatia chini......duh
Ni balaa hii ngoma jamaa kajipendelea beat na mtoto wa kichaga kwenye hiyo ngoma ndo balaa
 
Yaani yule dada wa coras ndio kaniacha hoi yaani kuanzia kagauni adi yy mwenyewe
 
Wewe toto akili zako ni za kimapenzi tu, maadili hayaruhusu director
mimi nikiwa nasikiliza huo wimbo natengeneza madansa wangu akilini nawachezesha akilini.. bwana hawajatendea haki bwana
 
mmh mbona barabarani wanatingisha sana
Ya barabarani ile ina staha, sio kama zile za miduara banah eh na taalabu za kina mzee Yusufu vibinti vinatingisha kitako kimoja kinatingishwa tafikiri robot
 
mimi nikiwa nasikiliza huo wimbo natengeneza madansa wangu akilini nawachezesha akilini.. bwana hawajatendea haki bwana
Mimi video yangu ni wadada wazuri wenye shepu na nyuma Mungu kawapa, wanakamata chini yaani mikono sakafuni kalio juu. Full kujiachia! Sehemu nyingine ktk video yangu hao wadada wamevaa silk za kubana na kuna sprinklers zimefunguliwa wadada wanacheza dirty huku wamelowana!
 
Mimi video yangu ni wadada wazuri wenye shepu na nyuma Mungu kawapa, wanakamata chini yaani mikono sakafuni kalio juu. Full kujiachia! Sehemu nyingine ktk video yangu hao wadada wamevaa silk za kubana na kuna sprinklers zimefunguliwa wadada wanacheza dirty huku wamelowana!
nipe link nikaione mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom