Diamond ft. Mafikizolo

Diamond ft. Mafikizolo

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,643
Reaction score
70,599
Kakak CHIBU umewakilisha vizuri tena.
Hujaharibu kazi. Well done.
Tanzania is very proud of you
 
jamani team kiba mnaogopa kuponda?
kawashika pabaya?
 
Nitacomment kama mtu wa kawaida tu ninaependa muziki. Sina ushabiki wa kuegemea upande fulani kwa sababu kufanya hivyo hakuna tija kwangu. Diamond ni mwanamuziki mzuri na kushirikiana na hili kundi la Mafikizolo katika huo wimbo wa Colors of Africa ni hatua kubwa kwani mbali na kuzidi kujitangangaza kimataifa yeye kama yeye lakini pia ni heshima kubwa kwa taifa letu.

Kwa ujumla wimbo na video mimi nimeona ni ya kawaida sana. Midundo na video ya Make Me Sing aliyoshirikiana na Aka ni nzuri zaidi ya hii. Huo ni mtazamo wangu.
 
Back
Top Bottom