CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Ndugu wana jf naomba kama kuna mtu anakitabu cha ile hadithi maarufu ya Willi Gamba na mwana dada Tausi aniuzie,nina kihitaji sana na nilikisoma takribani miaka 19 iliyopita.
Dada Cheusi;Ndugu wana jf naomba kama kuna mtu anakitabu cha ile hadithi maarufu ya Willi Gamba na mwana dada Tausi aniuzie,nina kihitaji sana na nilikisoma takribani miaka 19 iliyopita.
Dada Cheusi;
Naona kama kwa level na umri uliofikia haustahili tena kusona vitabu au novel za kiswahili, waachie kindergatten na shule za Msingi.
Nakushauri badala yake usome novel za James Hardley Chase zipo nyingi mtaani zimezagaa, utapata satsfaction mara 10 zaidi ya kurudia kusoma hiyo novel ya kiswahili.
Kumbuka pia kuwa Musiba alikuwa anaiga utunzi wa Chase, ndiyo maana akaweza kutunga novel zilizoweza kukuvutia. Just imagine kusoma novel za yule aliyeigizwa na Musiba sijui itakuwaje. Try it out and you will tell me.
Ndugu wana jf naomba kama kuna mtu anakitabu cha ile hadithi maarufu ya Willi Gamba na mwana dada Tausi aniuzie,nina kihitaji sana na nilikisoma takribani miaka 19 iliyopita.
Musiba aliandika vitabu vingi vinavyohusu Will gamba mplelezi mashuhuri barani africa ambaye alikuwa anateketeza mfumo wa kijasusi wa kuwaua wapigania uhuru enzi hizi -- kati ya hivi unataka kibabu kipi?
Kikomo
Njama
Kikosi cha kisasi
Hujuma.
Chase anapigana na wauaji wapigania uhuru?
Hata hivyo unaonekana sio msomaji wa novels na wala huwajui watunzi wakali kama kina Sydney Sheldon
Why ,!hakuna wakina willy,benny mtobwa
Huyo anataka kitabu cha "HOFU" au "KUFA NA KUPONA" maana kati ya vitabu hivyo kuna warembo Nyaso na Tausi maana mwenyewe nimesoma miaka 17 iliyopita.
Mie Kufa na Kupona nilikisoma mwaka 1977 nikiwa darasa la tano
musiba aliandika vitabu vingi vinavyohusu will gamba mplelezi mashuhuri barani africa ambaye alikuwa anateketeza mfumo wa kijasusi wa kuwaua wapigania uhuru enzi hizi -- kati ya hivi unataka kibabu kipi?
Kikomo
njama
kikosi cha kisasi
hujuma.