Diamond na Alikiba wapambanishwa

Diamond na Alikiba wapambanishwa

Francis Mawere

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2015
Posts
969
Reaction score
844
paaaaaaaaaaap, JfUbuyu.com founder a.k.a team Mafisi huyu hapa.

Ni katika tuzo kubwa barani Africa zijulikanazo kama All Africa Music Award(AFRMA) 2016 ambapo zimefanikiwa kuwapambanisha Simba wa Tandale (Diamond) na Mfalme wa Kigoma mzee wa Nakshi Nakshi(Alikiba). Sasa bhana hawa jamaa watawania tuzo ya Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki yaani Best East African male Artist. Ni wazi kwamba Tuzo hii ishakuja nyumbani maana hawa jamaa wote wawili ni Machampion hapa Africa Mashariki.
Sema tuu mmoja wao teyari ni mzoefu wa hizi tuzo 🙂D😀😀 wabongo bhana!)

My take:
Ule ujinga wakujifanya mna vitimu vyenu huko sio huu, huu ni muda wakuwasuport vijana Simba wa Tandale(Diamond) na Mfalme wa Kigoma(Alikiba). zaidi ya yote tusiishie hapo tuu maana Simba yeye nyota yake imen'gaa kidoooooooooogo akachaguliwa Category Tano so lets support him.
 
haaa haaa mtoa uzi kidizaini kama una maslahi binafsi upande wa D....
paaaaaaaaaaap, JfUbuyu.com founder a.k.a team Mafisi huyu hapa.

Ni katika tuzo kubwa barani Africa zijulikanazo kama All Africa Music Award(AFRMA) 2016 ambapo zimefanikiwa kuwapambanisha Simba wa Tandale (Diamond) na Mfalme wa Kigoma mzee wa Nakshi Nakshi(Alikiba). Sasa bhana hawa jamaa watawania tuzo ya Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki yaani Best East African male Artist. Ni wazi kwamba Tuzo hii ishakuja nyumbani maana hawa jamaa wote wawili ni Machampion hapa Africa Mashariki.
Sema tuu mmoja wao teyari ni mzoefu wa hizi tuzo 🙂D😀😀 wabongo bhana!)

My take:
Ule ujinga wakujifanya mna vitimu vyenu huko sio huu, huu ni muda wakuwasuport vijana Simba wa Tandale(Diamond) na Mfalme wa Kigoma(Alikiba). zaidi ya yote tusiishie hapo tuu maana Simba yeye nyota yake imen'gaa kidoooooooooogo akachaguliwa Category Tano so lets support him.
 
Utumwe tuzo kubwa barani Africa ufate Afrimma kama una mkwanja wape utatangazwa mshindi hata ukitoa single Kesho
 
Back
Top Bottom