Kwanini usi download mwenyewe tu kuliko kwenda kutafuta zilizo chakachuliwaHabarini wakuu, eti kwa Dar es Salaam ni duka gani naweza kupata DVDs za 3D movies?
bora umenena au kama ana hela aseme tumdownlodie anazozitakaKwanini usi download mwenyewe tu kuliko kwenda kutafuta zilizo chakachuliwa
Mkuu sasa ukimdownlodia unamtumia kwa njia gan!bora umenena au kama ana hela aseme tumdownlodie anazozitaka
Dvd player niliyonayo haina usb port. So nikidownload nikasave kwenye external drive bado sitaweza kuangalia kwenye tv kama ninavyotaka. Au kuna namna nyingine.. ushauri pleaseKwanini usi download mwenyewe tu kuliko kwenda kutafuta zilizo chakachuliwa
Kama unatumia PC unaweza ukadownload movie unayotaka harafu ukanunu CD empty ukaban hiyo movie ukaiplay kwenye hiyo DVD yakoDvd player niliyonayo haina usb port. So nikidownload nikasave kwenye external drive bado sitaweza kuangalia kwenye tv kama ninavyotaka. Au kuna namna nyingine.. ushauri please