Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Track mpya ya yule dogo mkali wa kanda ya ziwa Dav Jay. Anakuja Kiafrika zaidi na kuturudisha pwaaaaaanii!! Idownload Hapa
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habarini za jumapili wanajamvi, Napenda kuuliza ule wimbo unaopigwa kwenye tangazo la Cocacola unaitwaje na nani muimbaji? Natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Miaka hiyo huu ya 90 wimbo "ngapulila" unankikumbusha mbali sana kuna my cousin braza from temeke mwisho alistorowei kwenda kwa madiba daah ilikua msala sana,alifanikiwa kufika akakaa km miaka 5...
0 Reactions
0 Replies
915 Views
Katika hali isiyo ya Kawaida na Surprise kwa Mafansi wake Msanii Mkongwe na Mfalme wa Bongofleva ALIKIBA AU KINGKIBA,Yaaani Yule Mwana dar es salaam @officialalikiba ametua Nchini Kenya bila...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mwana dada Pipi kaachia video yake inayokwenda kwa jina la Hafai ambapo ndani ya wimbo huo yupo Nick Wa 2. Ingawaje kwenye video Nick Hajaonekana ila Kipekee niseme kwamba hii Video ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Post deleted by author!
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kwa wale fans na wafuatiliaji wa shindano la MAISHA PLUS tukutane hapa.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
paaaaaaaaaaap, JfUbuyu.com founder a.k.a team Mafisi huyu hapa. Ni katika tuzo kubwa barani Africa zijulikanazo kama All Africa Music Award(AFRMA) 2016 ambapo zimefanikiwa kuwapambanisha Simba...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Jinsi lugha ya Kiswahili inavyoendelea kutambulika kimataifa pia changamoto kubwa inaanza kuikabili tasnia ya Bongo Movie kuweza kuandaa sinema zilizo na story nzuri na muonekano bora kimataifa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna dem ameangusha kipochi leo, nikamwambia *"Excuse me madam"* akasema *"I have a boyfriend"* saa hii niko kwa hoteli nakula kuku•• #Maringo_sipendangi..
0 Reactions
2 Replies
893 Views
Sikiliza kitu hichi cha mopao kikuliwaze baada ya kazi;
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hayaaa, wale mliokuwa mnachochea na kuabudu kaulimbiu ya hainaga ushemeji nyie mnakula tuu. Huu ni ujumbe kwenu, Hahahhaaaa, Hii miziki ni sooo funny #Singeli
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Habarini wakuu, eti kwa Dar es Salaam ni duka gani naweza kupata DVDs za 3D movies?
0 Reactions
8 Replies
985 Views
jaman kuna mwanafunz alpata div3,,25(Civics-D,Kiswahili-D,History-D,Geography-D,Physics-D,Chemistry-D,Biology-C,English-C,Mathematics-F)kapangiwaga PCB,,,lakini huyu alpata...
0 Reactions
0 Replies
515 Views
Naombeni kujua haawa mabinti waliopanda jukwaaani kucheza na Chibbu nani unamfahamu na babake yuko wapi? naona washaharibika, hasa huyo aliyepanda jukwaani wa mwisho namashaka sana.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Sijui ni aina gani ya muziki huu? station kubwa kufululiza kupiga nyimbo hizi badala ya kupiga nyimbo za maana mmeweka vinyimbo vya hovyo anachoimba hakieleweki tunasikia vifilimbi tu hovyo...
2 Reactions
101 Replies
17K Views
Habari wanajamvi? Kwanza naomba niseme mie nimezaliwa na kukulia uswazi mpka nilipoanza maisha ndio nikahamia walau nusu uswazi... Uswahilini kwetu kwa wale wa maeneo ya...
1 Reactions
34 Replies
8K Views
RIWAYA: Jina NA: Frank Masai. SEHEMU YA 2. ENDELEA. Warusha ndege waliingia ndani ya Jet P 112, na kufunga mikanda yao. Na nyuma yao, walikaa Montana na watu wake. Wakashauriwa nao wavae mikanda...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
leo asubuhi wakati wa BP ulipigwa wimbo wa ben paul jikubali, kwenye verse ya kwanza kuna maneno yalifichwa, ikabidi niutafute huo wimbo nisikilize vizuri sehemu gani ni offensive, kwa namna...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Kipekee huwa nakubali ile ya Wagosi wa kaya lile song lao la tax yangu umempa deiwa! Tax yangu umempa deiwaka deoooooo bosi akijua itakuaa kimeoooo! Na ile ya Mandojo na Domo kaya ile sema basi...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Back
Top Bottom