Miaka hiyo huu ya 90 wimbo "ngapulila" unankikumbusha mbali sana kuna my cousin braza from temeke mwisho alistorowei kwenda kwa madiba daah ilikua msala sana,alifanikiwa kufika akakaa km miaka 5...
Katika hali isiyo ya Kawaida na Surprise kwa Mafansi wake Msanii Mkongwe na Mfalme wa Bongofleva ALIKIBA AU KINGKIBA,Yaaani Yule Mwana dar es salaam @officialalikiba ametua Nchini Kenya bila...
Mwana dada Pipi kaachia video yake inayokwenda kwa jina la Hafai ambapo ndani ya wimbo huo yupo Nick Wa 2. Ingawaje kwenye video Nick Hajaonekana ila Kipekee niseme kwamba hii Video ni...
paaaaaaaaaaap, JfUbuyu.com founder a.k.a team Mafisi huyu hapa.
Ni katika tuzo kubwa barani Africa zijulikanazo kama All Africa Music Award(AFRMA) 2016 ambapo zimefanikiwa kuwapambanisha Simba...
Jinsi lugha ya Kiswahili inavyoendelea kutambulika kimataifa pia changamoto kubwa inaanza kuikabili tasnia ya Bongo Movie kuweza kuandaa sinema zilizo na story nzuri na muonekano bora kimataifa...
Kuna dem ameangusha kipochi leo, nikamwambia *"Excuse me madam"* akasema *"I have a boyfriend"* saa hii niko kwa hoteli nakula kuku••
#Maringo_sipendangi..
Hayaaa, wale mliokuwa mnachochea na kuabudu kaulimbiu ya hainaga ushemeji nyie mnakula tuu. Huu ni ujumbe kwenu,
Hahahhaaaa, Hii miziki ni sooo funny
#Singeli
jaman kuna mwanafunz alpata div3,,25(Civics-D,Kiswahili-D,History-D,Geography-D,Physics-D,Chemistry-D,Biology-C,English-C,Mathematics-F)kapangiwaga PCB,,,lakini huyu alpata...
Naombeni kujua haawa mabinti waliopanda jukwaaani kucheza na Chibbu nani unamfahamu na babake yuko wapi? naona washaharibika, hasa huyo aliyepanda jukwaani wa mwisho namashaka sana.
Sijui ni aina gani ya muziki huu? station kubwa kufululiza kupiga nyimbo hizi badala ya kupiga nyimbo za maana mmeweka vinyimbo vya hovyo anachoimba hakieleweki tunasikia vifilimbi tu hovyo...
Habari wanajamvi?
Kwanza naomba niseme mie nimezaliwa na kukulia uswazi mpka nilipoanza maisha ndio nikahamia walau nusu uswazi...
Uswahilini kwetu kwa wale wa maeneo ya...
RIWAYA: Jina
NA: Frank Masai.
SEHEMU YA 2.
ENDELEA.
Warusha ndege waliingia ndani ya Jet P 112, na kufunga mikanda yao. Na nyuma yao, walikaa Montana na watu wake.
Wakashauriwa nao wavae mikanda...
leo asubuhi wakati wa BP ulipigwa wimbo wa ben paul jikubali, kwenye verse ya kwanza kuna maneno yalifichwa, ikabidi niutafute huo wimbo nisikilize vizuri sehemu gani ni offensive, kwa namna...
Kipekee huwa nakubali ile ya Wagosi wa kaya lile song lao la tax yangu umempa deiwa! Tax yangu umempa deiwaka deoooooo bosi akijua itakuaa kimeoooo! Na ile ya Mandojo na Domo kaya ile sema basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.