Hicho chombo cha mziki kilichotumika (violin)........sijui kiswahili chake...... kinaleta ladha nzuri sana kwenye muziki.
Ali Kiba kafungua macho ya bongo fleva
Sema uchaguzi wa maneno kwa wasanii wetu ni bado sana hawachagui maneno yanayoishi kwenye nyimbo zao wanatumia maneno ya kawaida na kuyapa melody tu hii ni mpaka kwenye filamu hakuna uchaguzi wa maneno(diction) ili kueleweka hapo angalia movie kama troy au sikiliza wimbo kama hero wa enrique
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.