Huu wimbo mpya wa Ruby kwa ambaye ameuskiza basi anaweza akakubaliana na mimi kwamba
hii ni Diss ya waziwazi kwenda kwa Clouds,
Ikumbukwe kuwa Ruby na Clouds hawana maelewano mazuri tangu...
Habari wana jf, kuna program gan ya kurushiana movies mfano series kwa njia ya simu, kuna sister niliona wanarushiana part za movie anaangalia kupitia simu but sikuelewa ni program can...
Haya haya kumekucha huko kwa madiba...ni zile tuzo za (MTV Africa Music Awards) ndo zimerudi tena..Na kama kawaida yule raisi wa bongofleva anaendelea kupeperusha bendera ya nchi kwa uzuri...
Muziki ni sanaa ambayo ni ufundi wa kuwasilisha mawazo yaliyomo katika fikra za binadamu ili yadhihirike na kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa walengwa.
Malengo makuu ya sanaa ni pamoja na...
Jana nilikuwa natazama kipindi cha planet bongo EATV Dullah alikuwa anamuhoji Dully Sykes.
Katika kumpiga maswali alimuuliza swali kuhusu yeye kutoa nyimbo kisha ile video ya huo wimbo kuwekwa...
Kama wewe ni mpenzi wa muziki wa Trap karibu hapa tushee mikato ya trap songs unazozielewa sana.
Mimi binafsi napenda
Beehive ya jaycode
Troyboi - after hours
Tuesday - monkomen
679 - fetty...
Mbela, musical bow from Aka pygmies. The musician used his mouth as a resonator and play a wah effect, the wood stick on the left hand allows a pitch change. [A video by Sorel ETA]
Inaitwa "The Conjuring" Ni Moja Ya Movie Za Kutisha Sana. Kuna Watu Wamesadikika Kufa Wakati Wanaichek Kutokana Na Kutisha Kusiko Kwa Kawaida
Ni Story Ya Kweli Iliyo Wahi Kutokea Ulaya. Kutokana...
Swalama wana JF , kwa yoyote anayejua wapi ntaweza pata nyimbo za kichagga ziwe za gospel ama za kitamaduni, kwa ajuaye anipatie link.Sababu nimetafuta kila kona mtandaoni nimekosa.
Maishani kuna njia nyingi sana za kutoka kama una kipaji.
Ila kwa wenzetu huko ameshavuta hela ya kumsukuma siku mbili tatu hivi, hapo bado YOUTUBE, bado live performance sehemu nyingine.
Damiyr...
RIWAYA: Jina
NA: Frank Masai
SEHEMU YA 3.
ILIPOISHIA.
Pale alipoirusha, alijikuta akitumia nguvu nyingi ambazo zilimfanya asogee mbele kidogo ya Frank, na kwa kuwa alimkosa mtu aliyekusudia...
Kuna wimbo unaitwa kuruthumu sijui ni jagwa music ama Omar Omar ndio kaimba ila upo kwenye maadhi ya mnanda flan HIV....naomba mwenye link jins ya kuupata maana u tube nimezunguka sijauona
Aisee hii video imechefua sana baadhi ya watu lakini ndiyo hivyo, bonge la ngoma balaaa.
Kasema mauji ya mtu mweusi siyo HOMICIDE bali ni GENOCIDE; vita dhidi ya madawa ya kulevya ni vita dhidi ya...
[Verse 1]
Nataka nitoke kwenye Jamii Forum
Niuze sura!
Niseme ninatoka na Nifah…
Kitandani kwisha na FaizaFoxy
Ama Jimena
Nilete matata mpaka kwa Heaven sent
Kwenye redio zote, mpaka runinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.