You are the one and only mami And I’m the one man army We sio mnyama ila unyamani maninja wanakuita mwami We ni soldier, I told ya, na sio uongo Nakumbuka zile hustle za Mbeya mpaka Nyamongo...
Dunia leo inaadhimisha miaka 19 toka gwiji wa HipHop Tupac Shakur alipopigwa risasi na Kufariki Dunia September 13 mwaka 1996.
Mengi yamezungumzwa kuhusiana na kifo chake, na kuna wengine...
Chombo cha habari maarufu barani Africa na kinachodhamini tuzo za MTV mama African music awards kimepost taarifa za wasanii watakao perform siku ya event 22/10/2016 akiwemo,Alikiba kutoka Africa...
Published on 6 Sep 2016
LIVE PERFOMANCE AT THE SALZBURG ARENA (The Salzburgarena), AUSTRIA
TANZANIAN BAND PLAYING ORIGINAL MUSIC FROM THE TRIBES OF TANZANIA FUSSION.
InafrikaBand artists are...
jje's Sifa kibao nishasema, yote sababu nimezama Uzuri wako ndo unazidi nipa homa Haki ya nani mi nitakatia bima Mi sisikii napata raha Nitasubiri more honey Na sioni, baby karaha Long time...
Hii imenifurahisha sana,,, ila hii tabia ya kuuingilia show za watu ambazo zimepangwa officially,,kwa msanii haileti picha nzuri maana anajiundermine yani,,,kwa nini wasimwandalie show na...
Wasaalam.
Hivi jamani ni bendi gani za muziki ambazo wewe umewahi tokea kuzipenda na kamwe hutaacha kuzisikiliza hata ukiwa mzee. Mimi binafsi kuna bendi za hapa nchini na za nje ambazo nazipenda...
Miaka hiyo huu ya 90 wimbo "ngapulila" unankikumbusha mbali sana kuna my cousin braza from temeke mwisho alistorowei kwenda kwa madiba daah ilikua msala sana,alifanikiwa kufika akakaa km miaka 5...
Katika hali isiyo ya Kawaida na Surprise kwa Mafansi wake Msanii Mkongwe na Mfalme wa Bongofleva ALIKIBA AU KINGKIBA,Yaaani Yule Mwana dar es salaam @officialalikiba ametua Nchini Kenya bila...
Mwana dada Pipi kaachia video yake inayokwenda kwa jina la Hafai ambapo ndani ya wimbo huo yupo Nick Wa 2. Ingawaje kwenye video Nick Hajaonekana ila Kipekee niseme kwamba hii Video ni...
paaaaaaaaaaap, JfUbuyu.com founder a.k.a team Mafisi huyu hapa.
Ni katika tuzo kubwa barani Africa zijulikanazo kama All Africa Music Award(AFRMA) 2016 ambapo zimefanikiwa kuwapambanisha Simba...
Jinsi lugha ya Kiswahili inavyoendelea kutambulika kimataifa pia changamoto kubwa inaanza kuikabili tasnia ya Bongo Movie kuweza kuandaa sinema zilizo na story nzuri na muonekano bora kimataifa...
Kuna dem ameangusha kipochi leo, nikamwambia *"Excuse me madam"* akasema *"I have a boyfriend"* saa hii niko kwa hoteli nakula kuku••
#Maringo_sipendangi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.