Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Huu wimbo mpya wa Ruby kwa ambaye ameuskiza basi anaweza akakubaliana na mimi kwamba hii ni Diss ya waziwazi kwenda kwa Clouds, Ikumbukwe kuwa Ruby na Clouds hawana maelewano mazuri tangu...
0 Reactions
60 Replies
10K Views
Unaimbwa,'naipenda yanga mtoto wa jangwani/naipenda simba shabiki wa damu by Msaga Sumu.
0 Reactions
4 Replies
11K Views
Wapendwa mwenye nyimbo Tajwa hapo juu naiomba....msaga sumu anayoimba Naipenda simba mshabiki wa damu
0 Reactions
3 Replies
16K Views
Habari wana jf, kuna program gan ya kurushiana movies mfano series kwa njia ya simu, kuna sister niliona wanarushiana part za movie anaangalia kupitia simu but sikuelewa ni program can...
0 Reactions
3 Replies
768 Views
Haya haya kumekucha huko kwa madiba...ni zile tuzo za (MTV Africa Music Awards) ndo zimerudi tena..Na kama kawaida yule raisi wa bongofleva anaendelea kupeperusha bendera ya nchi kwa uzuri...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Muziki ni sanaa ambayo ni ufundi wa kuwasilisha mawazo yaliyomo katika fikra za binadamu ili yadhihirike na kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa walengwa. Malengo makuu ya sanaa ni pamoja na...
1 Reactions
1 Replies
713 Views
Jana nilikuwa natazama kipindi cha planet bongo EATV Dullah alikuwa anamuhoji Dully Sykes. Katika kumpiga maswali alimuuliza swali kuhusu yeye kutoa nyimbo kisha ile video ya huo wimbo kuwekwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama wewe ni mpenzi wa muziki wa Trap karibu hapa tushee mikato ya trap songs unazozielewa sana. Mimi binafsi napenda Beehive ya jaycode Troyboi - after hours Tuesday - monkomen 679 - fetty...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ziwe za kiswahili ama kiingereza si vibaya mkaniongezea zaid ya hizi nizijuazo....nazihusudu kwakuwa huwa zinaniondoleaga stress ...
0 Reactions
65 Replies
9K Views
Mbela, musical bow from Aka pygmies. The musician used his mouth as a resonator and play a wah effect, the wood stick on the left hand allows a pitch change. [A video by Sorel ETA]
0 Reactions
0 Replies
540 Views
Wana JF movie ipi nzuri inayoenda na THE EXAM?
1 Reactions
0 Replies
414 Views
Inaitwa "The Conjuring" Ni Moja Ya Movie Za Kutisha Sana. Kuna Watu Wamesadikika Kufa Wakati Wanaichek Kutokana Na Kutisha Kusiko Kwa Kawaida Ni Story Ya Kweli Iliyo Wahi Kutokea Ulaya. Kutokana...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Swalama wana JF , kwa yoyote anayejua wapi ntaweza pata nyimbo za kichagga ziwe za gospel ama za kitamaduni, kwa ajuaye anipatie link.Sababu nimetafuta kila kona mtandaoni nimekosa.
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Maishani kuna njia nyingi sana za kutoka kama una kipaji. Ila kwa wenzetu huko ameshavuta hela ya kumsukuma siku mbili tatu hivi, hapo bado YOUTUBE, bado live performance sehemu nyingine. Damiyr...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Unahitajika sana wakuu,msaada kwa mwenye nao. Ni hayo tu wakuu.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
RIWAYA: Jina NA: Frank Masai SEHEMU YA 3. ILIPOISHIA. Pale alipoirusha, alijikuta akitumia nguvu nyingi ambazo zilimfanya asogee mbele kidogo ya Frank, na kwa kuwa alimkosa mtu aliyekusudia...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Kuna wimbo unaitwa kuruthumu sijui ni jagwa music ama Omar Omar ndio kaimba ila upo kwenye maadhi ya mnanda flan HIV....naomba mwenye link jins ya kuupata maana u tube nimezunguka sijauona
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Aisee hii video imechefua sana baadhi ya watu lakini ndiyo hivyo, bonge la ngoma balaaa. Kasema mauji ya mtu mweusi siyo HOMICIDE bali ni GENOCIDE; vita dhidi ya madawa ya kulevya ni vita dhidi ya...
2 Reactions
2 Replies
915 Views
[Verse 1] Nataka nitoke kwenye Jamii Forum Niuze sura! Niseme ninatoka na Nifah… Kitandani kwisha na FaizaFoxy Ama Jimena Nilete matata mpaka kwa Heaven sent Kwenye redio zote, mpaka runinga...
9 Reactions
49 Replies
4K Views
Back
Top Bottom