Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

You are the one and only mami And I’m the one man army We sio mnyama ila unyamani maninja wanakuita mwami We ni soldier, I told ya, na sio uongo Nakumbuka zile hustle za Mbeya mpaka Nyamongo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Dunia leo inaadhimisha miaka 19 toka gwiji wa HipHop Tupac Shakur alipopigwa risasi na Kufariki Dunia September 13 mwaka 1996. Mengi yamezungumzwa kuhusiana na kifo chake, na kuna wengine...
7 Reactions
146 Replies
20K Views
Chombo cha habari maarufu barani Africa na kinachodhamini tuzo za MTV mama African music awards kimepost taarifa za wasanii watakao perform siku ya event 22/10/2016 akiwemo,Alikiba kutoka Africa...
1 Reactions
2 Replies
700 Views
Mwenye Jibu.. Mwaka huu hakuna Kilimanjaro Music Award?
0 Reactions
1 Replies
535 Views
Published on 6 Sep 2016 LIVE PERFOMANCE AT THE SALZBURG ARENA (The Salzburgarena), AUSTRIA TANZANIAN BAND PLAYING ORIGINAL MUSIC FROM THE TRIBES OF TANZANIA FUSSION. InafrikaBand artists are...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
hahaaa hivi kuna mtu anakijua hiki kipindi? sijui nani alikibuni kinachekesha mno sometimes Dah
1 Reactions
23 Replies
3K Views
jje's Sifa kibao nishasema, yote sababu nimezama Uzuri wako ndo unazidi nipa homa Haki ya nani mi nitakatia bima Mi sisikii napata raha Nitasubiri more honey Na sioni, baby karaha Long time...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Hii imenifurahisha sana,,, ila hii tabia ya kuuingilia show za watu ambazo zimepangwa officially,,kwa msanii haileti picha nzuri maana anajiundermine yani,,,kwa nini wasimwandalie show na...
0 Reactions
2 Replies
675 Views
Wasaalam. Hivi jamani ni bendi gani za muziki ambazo wewe umewahi tokea kuzipenda na kamwe hutaacha kuzisikiliza hata ukiwa mzee. Mimi binafsi kuna bendi za hapa nchini na za nje ambazo nazipenda...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Naipenda sana hii movie aliye nayo naomba msaada! Hata kwa muhtasari tu,maana naisikia tu....
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Track mpya ya yule dogo mkali wa kanda ya ziwa Dav Jay. Anakuja Kiafrika zaidi na kuturudisha pwaaaaaanii!! Idownload Hapa
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habarini za jumapili wanajamvi, Napenda kuuliza ule wimbo unaopigwa kwenye tangazo la Cocacola unaitwaje na nani muimbaji? Natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Miaka hiyo huu ya 90 wimbo "ngapulila" unankikumbusha mbali sana kuna my cousin braza from temeke mwisho alistorowei kwenda kwa madiba daah ilikua msala sana,alifanikiwa kufika akakaa km miaka 5...
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Katika hali isiyo ya Kawaida na Surprise kwa Mafansi wake Msanii Mkongwe na Mfalme wa Bongofleva ALIKIBA AU KINGKIBA,Yaaani Yule Mwana dar es salaam @officialalikiba ametua Nchini Kenya bila...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mwana dada Pipi kaachia video yake inayokwenda kwa jina la Hafai ambapo ndani ya wimbo huo yupo Nick Wa 2. Ingawaje kwenye video Nick Hajaonekana ila Kipekee niseme kwamba hii Video ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Post deleted by author!
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kwa wale fans na wafuatiliaji wa shindano la MAISHA PLUS tukutane hapa.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
paaaaaaaaaaap, JfUbuyu.com founder a.k.a team Mafisi huyu hapa. Ni katika tuzo kubwa barani Africa zijulikanazo kama All Africa Music Award(AFRMA) 2016 ambapo zimefanikiwa kuwapambanisha Simba...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Jinsi lugha ya Kiswahili inavyoendelea kutambulika kimataifa pia changamoto kubwa inaanza kuikabili tasnia ya Bongo Movie kuweza kuandaa sinema zilizo na story nzuri na muonekano bora kimataifa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna dem ameangusha kipochi leo, nikamwambia *"Excuse me madam"* akasema *"I have a boyfriend"* saa hii niko kwa hoteli nakula kuku•• #Maringo_sipendangi..
0 Reactions
2 Replies
886 Views
Back
Top Bottom