Ipo Sudani kama unaenda Tandikalocation?
Unapozitaja kwa jina useme na location ziko wapi? mpaka ameuliza ina maana hana sehemu zingine anazozijua kwa hiyo unapotaja club kwa jina tu utakua humjasaidia bado.Au kama hiyo haujaipenda nyingine nenda Club 24
Hahaa sure mkuu savanna ilikua balaaaPale palikuwa patamu sana.Kulikuwa na bebi nyingi sana za chuo alafu unavuta kwa ulaini.Savanna was the best.
Pamefulia. Tinejaz wengi, mpangilio mbovu wa muziki.Club 71 kibo complex tegeta