Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Uzi huu kuhusuiana na la tempestad,tutakua tunajadili mwenendo wa tamthilia yetu pendwa ambayo inahusisha wakali kama Captain Damián Fabré, Marina Reverté Artigas de Fabré,Magdalena Reverté...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Niko hapa tcc club kwenye pambano, kinachofanyila getini Ni wizi WA mchana. Watu wengi wanalipa na hawapewi tickets, sisi ambao tumekuja kuzisaidia hizi bendi kongwe, nimekatishwa tamaa siji tena
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ulikuwa wapi enzi zao na ulikuwa na miaka mingapi?....
2 Reactions
9 Replies
4K Views
  • Redirect
Nimebatika kuona video ya huyu Snura Mushi ya wimbo unaitwa Chura. Kusema kweli hajatundea haki huu wimbo kabisa yaani kwanza wametumia location mmoja ya beach. Okey, location sio ishu ila wale...
0 Reactions
Replies
Views
Kuna wimbo mmoja wa Papa Wemba kaimba kwa kiswahili nautafuta youtube siuoni kuna anaejua any link? nimeona Azam Two wameuonesha kwenye taarifa zao
3 Reactions
38 Replies
11K Views
Msaada wenu tafadhali nimeutafuta wimbo huu bila ya mafanikio sehemu ya wimbo huo ina maneno yasemayo"HATA DINI UMEBADILI, SUPU UMETIA NAZI LADHA YA SUPU NI CHUMVI NDIMU NA PULIPILI TU" Ameimba...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Jaman wakuu kwa jamvi hili naleta uzi hata kama hauna maana yoyote kwako, lakn ningependa kumfahamu msanii aliyeuimba wimbo wenye maneno kama title nilonge nisilonge,... longaaaa. mpenzi wangu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuuu naomben hii link ilyowekwa na member wa humu link ya wimbo wa baba paroko ============== usser Ingia kwenye hii LiNK hapa Chini Baba Paroko
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Na apumzike kwa amani. RIP Sai Sai Kaokokokorobo Yolele Show me the way
0 Reactions
0 Replies
750 Views
VideoMPYA: Tiwa Savage ft Dr. Sid 'If I start to talk' imeachiwa:
0 Reactions
0 Replies
513 Views
Kati ya filamu bora zilizowah kutokea dunian, itafute
0 Reactions
5 Replies
1K Views
kwenye maisha ya uswahilini na pwani huwa kuna kashda za pwani kwa namna hyo basi hapa nazungumzia pwani kwa ujumla maneno ya waswahili wa pwani hunikosha sana na huwa kuntu tena pambee tena...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Si ajabu miaka ya nyuma tulikua tunapiga hatua katika bongo movie kuliko sasa !! Eb wangapi wameshazitema hizi movie za hapa kwetu na kuanza Kuangalia za nje?? Na kwann sasa?? Je zamani movie za...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Mahojiano kati ya saleh ally wa gazeti la champion toleo la 9/10/2013 na mkurugenzi mtendaji wa Azam Media mr Rhys Torrington Salehe ally (swali lini mnaanza) mkurugenzi- kwasasa tumeingia...
1 Reactions
47 Replies
10K Views
See them fighting for power But they know not the hour So they bribing with their guns, spare-parts and money, Trying to belittle our Integrity now. They say what we know Is just what they teach...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Ndugu zangu Mimi ni chotora, mwanafunzi msanii chuo kikuu cha Dar es salaam. Ninajishughulisha na filamu. Kwa yeyote mwenye kuweza kilunisaidia naomba kupata mawasiliano ama kukutana na Jimmy...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakubwa kwa wale wenzangu wwpenzi wa lingala hivi kati ya hawa watu ferre gola(chetani,chair de poule na fally ipupa (dicarp la maveirle) nani anamkanyaga mwenzake kimziki.
0 Reactions
0 Replies
757 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Wadau kuna huyu kijana anajiita BEKA IBROZAMA namkumbuka alikua THT na akina Barnaba na Amini na alihit sana na wimbo wa Natumaini baadae akatoa nyingine zikafanya vzr piaa ila ghafla ckumckia...
0 Reactions
0 Replies
983 Views
Back
Top Bottom