Uzi huu kuhusuiana
na la tempestad,tutakua tunajadili mwenendo wa tamthilia yetu pendwa ambayo inahusisha wakali kama Captain Damián Fabré, Marina Reverté Artigas
de Fabré,Magdalena Reverté...
Niko hapa tcc club kwenye pambano, kinachofanyila getini Ni wizi WA mchana. Watu wengi wanalipa na hawapewi tickets, sisi ambao tumekuja kuzisaidia hizi bendi kongwe, nimekatishwa tamaa siji tena
Nimebatika kuona video ya huyu Snura Mushi ya wimbo unaitwa Chura. Kusema kweli hajatundea haki huu wimbo kabisa yaani kwanza wametumia location mmoja ya beach.
Okey, location sio ishu ila wale...
Msaada wenu tafadhali nimeutafuta wimbo huu bila ya mafanikio sehemu ya wimbo huo ina maneno yasemayo"HATA DINI UMEBADILI, SUPU UMETIA NAZI LADHA YA SUPU NI CHUMVI NDIMU NA PULIPILI TU" Ameimba...
Jaman wakuu kwa jamvi hili naleta uzi hata kama hauna maana yoyote kwako, lakn ningependa kumfahamu msanii aliyeuimba wimbo wenye maneno kama title
nilonge nisilonge,... longaaaa.
mpenzi wangu...
kwenye maisha ya uswahilini na pwani huwa kuna kashda za pwani
kwa namna hyo basi hapa nazungumzia pwani kwa ujumla maneno ya waswahili wa pwani hunikosha sana na huwa kuntu tena pambee tena...
Si ajabu miaka ya nyuma tulikua tunapiga hatua katika bongo movie kuliko sasa !! Eb wangapi wameshazitema hizi movie za hapa kwetu na kuanza Kuangalia za nje?? Na kwann sasa?? Je zamani movie za...
Mahojiano kati ya saleh ally wa gazeti la champion toleo la 9/10/2013 na mkurugenzi mtendaji wa Azam Media mr Rhys Torrington
Salehe ally (swali lini mnaanza)
mkurugenzi- kwasasa tumeingia...
See them fighting for power
But they know not the hour
So they bribing with their guns, spare-parts and money,
Trying to belittle our
Integrity now.
They say what we know
Is just what they teach...
Ndugu zangu Mimi ni chotora, mwanafunzi msanii chuo kikuu cha Dar es salaam. Ninajishughulisha na filamu. Kwa yeyote mwenye kuweza kilunisaidia naomba kupata mawasiliano ama kukutana na Jimmy...
Wakubwa kwa wale wenzangu wwpenzi wa lingala hivi kati ya hawa watu ferre gola(chetani,chair de poule na fally ipupa (dicarp la maveirle) nani anamkanyaga mwenzake kimziki.
Wadau kuna huyu kijana anajiita BEKA IBROZAMA namkumbuka alikua THT na akina Barnaba na Amini na alihit sana na wimbo wa Natumaini baadae akatoa nyingine zikafanya vzr piaa ila ghafla ckumckia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.