Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ivi hawa mastaa wetu hapa bongo kupenda kuingiza maneno ya kingeleza katikati ya mazungumzo yao ni kwamba hawajui kiswahili au ni ulimbukeni
0 Reactions
3 Replies
972 Views
Mbona nyie ni redio kubwa tu??? Why mnafanya vitendo vya kitoto? Ni kitu gan mnachoogopa kutoka kwa EFM?? Watangazaji mnawaacha wenyewe tena wengine mnawadharilisha wakat mnawaacha ila wakienda...
22 Reactions
58 Replies
6K Views
Wanabodi, Shindano la dume challenge ndio limeisha mandingo kaibuka mshindi.
2 Reactions
17 Replies
49K Views
Eleko Eleko Eleko……. Yani tangu asubuhii mpaka saiv unaji’ripiti’tu kwenye sabufa yangu. Sielewi ata unamaanisha nini ila unanipa burudani sana
2 Reactions
8 Replies
1K Views
baraka the prince, Alikiba- Nisamehe
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nilisha acha kuwa mpenzi wa Tamthilia ila hii imenirejesha ktk mapenzi hayo. inavisa motomoto vya mapenzi.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
TAMU NA CHUNGU YA KONGAMANO LA IRINGA. Naitwa Vailet, wengi hupenda kuniita vai, Ni mkazi wa Dar es laam, ilala msimbazi center, huko ndiko ninakoishi na mume wangu mpenzi anaeitwa Ray...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
MTUNZI: ERICK NZIKU STORY: PRESIDENT DAUGHTER SEHEMU YA KWANZA Naitwa James david Massawe ni mzaliwa wa Same, Kilimanjaro,i live with my both parrents na nna wadogo wawili john na jenny. Maisha...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Wana jamvi naombeni kuuliza kikundi cha Original Comedy kimesambaratika? Au ni nini kinaendelea/kimetokea!
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Katika maigizo ya muvi ya samsoni na Delila; kuna yule simba aliye kutana na samsoni halafu samsoni akamuua yule simba Kwa kumtanua mdomo; swali langu, yule alikuwa simba kweli au magumashi? Au...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Rafiki wa mjomba wangu alikuwa afisa misitu akifanya kazi Kigoma. Alinishawishi nikamtembelee Kigoma. Nikaenda huko. Ni mtu mpenda muziki sana hasa bolingo. Kila jioni baada ya kutoka kazini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NAOMBENI KAMA KUNA MDAU MWENYE HII MOVIE ANIAZIME UKIWA TEGETA,KUNDUCHI MBEZI B NI RAHISI NITAIFATA AU UNITUMIE Escape from Sobibor FULL MOVIE
2 Reactions
19 Replies
4K Views
jaman naomba kuuliza ivi hawa walio omba bachelor kupitia diproma walizo soma je waliomba kupitia nact au tcu ?na mpaka sasa kuna mwanafunzi yeyote alie chaguliwa bachelor kupitia diproma jaman...
0 Reactions
5 Replies
975 Views
  • Poll Poll
Ni stroy mabayo sayansi imechukua party kubwa sana and nimejaribu kuwa creative kwa kuvunja ile ishu kuwa Watanzania tunabase sana kwenye love story sababu hatutaki kujifunza mambo, nimeamua kutoa...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Leo tunaye malkia wa jahazi leyla rashidi aka mamake na lujayina. Ni mwimbaji wa jahazi modern taarab na pia ni mke halali wa mfalme mzee yusuff ambaye ni mkurugenzi na mmiliki wa bendi ya jahazi...
2 Reactions
56 Replies
22K Views
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Zecomedy show Jumamosi hii na kila Jumamosi wamekuandalia mambo mazuri yatakayo kuacha ukiwa na Furaha tele moyoni mwako huku ukijisaulisha mambo mengi yanayotokea ndani nyumbani zetu serikali...
3 Reactions
118 Replies
16K Views
Back
Top Bottom