Neema Gospel Choir AIC Chang'ombe

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,836
Aise hawa jamaa wanaimba kimataifa. Halafu wanaimba live. Hakika sasa Tanzania tunasonga mbele.
Sauti zimepangiliwa vizuri sana. Mlio wa mziki unahamasisha waimbaji nao wamependeza.
Hebu check wimbo wao huu



Watafute uweze kupata DVD.
 
Hongera zao sana hao waimbaji wako vizuri sana pamoja na wadogo zao cvc,hakika huimba kimataifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom