ON air right NOW! Hawavumi lakini wamo ebwane kuna wasanii wanavipaji huku hatari tupu yaani akina Diamond wafanye fanye wawaite wakasign label ya wasafi tu asee, au akina Barnaba boy au hata SONY...
Nipo sebuleni nimejipumzisha Hapa.. Sasa Wadogo hapa Wanapenda Sana Kuweka StarTimes Swahili kwa Sababy ya Maigizo ya Kiswahili... Na Mm Nilipofika Hapa nikajilaza Tu kwenye Kochi naangalia Mada...
Nimefuatilia coke studio Africa mwaka jana 2015 lakini hakuna wimbo ulionifurahisha kama "REASON" Ulioimbwa na Wangechi, Neyo, Dama do Bling, Maurice Kirya, Ice Prince, Alikiba na Ne-Yo...
You know where I've come from,
You know my story,
You know why I'm standing here...
Tonight,
Please don't go,
Don't be in a hurry,
I'm here to make it clear,
Make it right,
Well I know I've acted...
Kama wewe ni mpenzi wa series za kikorea nadhani ushawai kuviona hivi vichwa kwenye series mbalimbali.
Kwangu mimi hawa ndo best favorite actor of all time kunako series za kikorea.
Akihojiwa na kipindi cha friday night live kinachorushwa na east african tv msanii maarufu Tanzania Tid akijiita mnyama,, hilo lilikuwa ni ombi la mtazamaji wa kipind hicho kwamba kwa sasa mnyama...
Habari wadau.
Ben pol ana wimbo wake mzuri sana unafahamika kama moyo mashine. Sasa huu utaratibu wa kufanya rmx au sijui cover wamefanya wengi sana Ila kuna dada mmoja sijamjua nae kufanya hiyo...
Karibuni tukumbushane aina ya mziki Wa raggea na wanamziki wake na makundi yao waliowai kukuvutia sana.
Mimi napoisikia Shembe ya lucky dube.night nurse Gregory. Ub40 natulia sana.je wewe!
Jamani sijui wenzangu mnaofatilia Bongo fleva mnaonaje hili!
Hivi ulishawahi kusikiliza vema nyimbo za Ally Kiba anazoimba sasa baada ya kutoa ule wimbo wa "Mwana" halafu ukajiuliza Diamond...
Habar zenu wadau
Hebu tuangalie hii tasnia ya vichekesho bongo. Kifupi ni kwamba kwa sasa tasnia hii imevamiwa yani uvamizi mkubwa umeingia ktk tasnia hii
Kumekuwa na idadi kubwa ya...
Habari,naitaji movie hii mwenye nayo ama link ambapo naweza kuipakua anisaidie,nipatie direct link maana nimetafuta sana kwenye movie site sijaweza kupakua zaid ya ku watch online tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.