Lemonade From Beyonce..
Hii album nimepata jana,, iko pouwa sanaa...
Naona huyu mwanamama kama ana mpa jamaa (Jay Z) warning fulani hivi..
Kwenye wimbo huu unaitwa Don't hurt...
Ndugu wana jf naomba kama kuna mtu anakitabu cha ile hadithi maarufu ya Willi Gamba na mwana dada Tausi aniuzie,nina kihitaji sana na nilikisoma takribani miaka 19 iliyopita.
Huyu jamaa kamfunika hadi Adele mwenyew, naomba hilo nikiri kabisa.
Hii hatari sasa, khaaaa.
Hangaiki kuimba kabisaa. Akikaa vizuri kimuziki huyu Jamaa ni level za Kina Mozart, Nina Simone na...
Hi kwa sana wana JF
Naomba msaada kwenu nilikuwa nahitaji link ambayo naweza kuupata wimbo wa zilipendwa au mwenye nao wa "teddy wana Zanzibar" uliopigwa na bendi ya DDC mlimani park okestra...
Yule gwiji wa muziki Afrika, toka DRC Papa Wemba, amefariki dunia. Habari zinasema alikuwa katika shoo huko Ivory Coast, stejini akadondoka. Alikuwa na miaka 66.
Chanzo: France 24 English.
Watoto nchini Uganda wametengeneza video wakicheza nyimbo maarufu “Sorry” ya msanii Justin Bieber. Mwimbo huu umekuwa maarufu sana dunia nzima na watu wengi wametengeneza video tofauti tofauti...
Habari wadau,
Wale wapenzi wa series maarufu ebu tupeane maujanja.Nataka kujua series hasa za Hollywood zinazo deal na mambo ya Intelligencia na Middle East
Mfano Tyrant, Homeland,Strike...
Sauti Sol (Kenya) and Alikiba (Tanzania) release UNCONDITIONALLY BAE, a danceable love ballad. In the song, Sauti Sol and Alikiba sing about the difficulty of finding love in the modern day world...
Steve Nyerere
MSANII wa filamu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ameshikilia bango la kutaka filamu za nje zizuiwe hapa nchini kwa kuamini kuwa, soko la filamu za Kibongo litazidi kutanuka na...
MENEJA Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa (Tanapa), Pascal Shelutete, amesema wasanii wa filamu nchini wanatakiwa kutumia mandhari za asili zilizoko katika hifadhi za Taifa kwa ajili ya kurekodi...
Vibao vzake hivi viwili vilikuwa nalaa
Prince Rogers Nelson, was an American singer, songwriter, multi-instrumentalist, record producer, and actor. Prince was renowned as an innovator...
Ni kibao Wenze Ya Mizemba,wewe kama ni shabiki au mlevi wa bolingo laini basi ukiusikiliza au kuangalia video yao hawa jamaa wanavyobadirishana verse,pozi na madada walio na miguu saaaaafi...
https://soundcloud.com/johnbruddatz/hunter-classic-wathamanii
HIYO NI LINK YA NYIMBO ZANGU,
NIMEKUA NIKIFANYA MUZIKI KWA MIAKA KADHAA KWASABABU NAPENDA MUZIKI NA NATAMBUA NINAKIPAJI CHA UTUNZI NA...
Wadau hii movie niliangalia zamani ila siikumbuki jina.
Kuna dogo Wa kiume alipotea porini na kule porini kulikuwa na dubu mmoja ndio alikuwa anamlinda. Baadae alikuja kuokolewa na helicopter...
Wadau mimi sipondi ila bongo tunahitaji nguvu ya ziada ili kufika hivi viwango.
Huyu dada ni Muisrael anaitwa Rudi Bainesay.
Anaimba hadi hatari, kawafunika wenye hizi nyimbo
Natural Woman by...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.