Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Lemonade From Beyonce.. Hii album nimepata jana,, iko pouwa sanaa... Naona huyu mwanamama kama ana mpa jamaa (Jay Z) warning fulani hivi.. Kwenye wimbo huu unaitwa Don't hurt...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Ndugu wana jf naomba kama kuna mtu anakitabu cha ile hadithi maarufu ya Willi Gamba na mwana dada Tausi aniuzie,nina kihitaji sana na nilikisoma takribani miaka 19 iliyopita.
0 Reactions
39 Replies
17K Views
Huyu jamaa kamfunika hadi Adele mwenyew, naomba hilo nikiri kabisa. Hii hatari sasa, khaaaa. Hangaiki kuimba kabisaa. Akikaa vizuri kimuziki huyu Jamaa ni level za Kina Mozart, Nina Simone na...
3 Reactions
47 Replies
4K Views
Miley Cyrus ana kipaji cha kipekee kabisa. Kamshinda hadi mwenye wimbo. CC: MGuccI
4 Reactions
18 Replies
1K Views
NAHITAJI KUPATA MIZIKI YA ZAMANI YA MSONDO, SIKINDE, MATIMILA N.K. MWENYE KUJUA LINK MSAADA TAFADHALI
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Hi kwa sana wana JF Naomba msaada kwenu nilikuwa nahitaji link ambayo naweza kuupata wimbo wa zilipendwa au mwenye nao wa "teddy wana Zanzibar" uliopigwa na bendi ya DDC mlimani park okestra...
0 Reactions
0 Replies
987 Views
  • Redirect
Yule gwiji wa muziki Afrika, toka DRC Papa Wemba, amefariki dunia. Habari zinasema alikuwa katika shoo huko Ivory Coast, stejini akadondoka. Alikuwa na miaka 66. Chanzo: France 24 English.
0 Reactions
Replies
Views
Watoto nchini Uganda wametengeneza video wakicheza nyimbo maarufu “Sorry” ya msanii Justin Bieber. Mwimbo huu umekuwa maarufu sana dunia nzima na watu wengi wametengeneza video tofauti tofauti...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Huu ni wimbo wake mpya
1 Reactions
0 Replies
614 Views
  • Redirect
Habari wadau, Wale wapenzi wa series maarufu ebu tupeane maujanja.Nataka kujua series hasa za Hollywood zinazo deal na mambo ya Intelligencia na Middle East Mfano Tyrant, Homeland,Strike...
2 Reactions
Replies
Views
Sauti Sol (Kenya) and Alikiba (Tanzania) release UNCONDITIONALLY BAE, a danceable love ballad. In the song, Sauti Sol and Alikiba sing about the difficulty of finding love in the modern day world...
7 Reactions
199 Replies
37K Views
Steve Nyerere MSANII wa filamu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ameshikilia bango la kutaka filamu za nje zizuiwe hapa nchini kwa kuamini kuwa, soko la filamu za Kibongo litazidi kutanuka na...
2 Reactions
160 Replies
11K Views
MENEJA Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa (Tanapa), Pascal Shelutete, amesema wasanii wa filamu nchini wanatakiwa kutumia mandhari za asili zilizoko katika hifadhi za Taifa kwa ajili ya kurekodi...
0 Reactions
2 Replies
931 Views
Habari Jf Naomba mwenye huo wimbo hapo juu.
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Vibao vzake hivi viwili vilikuwa nalaa Prince Rogers Nelson, was an American singer, songwriter, multi-instrumentalist, record producer, and actor. Prince was renowned as an innovator...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni kibao Wenze Ya Mizemba,wewe kama ni shabiki au mlevi wa bolingo laini basi ukiusikiliza au kuangalia video yao hawa jamaa wanavyobadirishana verse,pozi na madada walio na miguu saaaaafi...
2 Reactions
4 Replies
6K Views
https://soundcloud.com/johnbruddatz/hunter-classic-wathamanii HIYO NI LINK YA NYIMBO ZANGU, NIMEKUA NIKIFANYA MUZIKI KWA MIAKA KADHAA KWASABABU NAPENDA MUZIKI NA NATAMBUA NINAKIPAJI CHA UTUNZI NA...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau hii movie niliangalia zamani ila siikumbuki jina. Kuna dogo Wa kiume alipotea porini na kule porini kulikuwa na dubu mmoja ndio alikuwa anamlinda. Baadae alikuja kuokolewa na helicopter...
0 Reactions
1 Replies
676 Views
Mama huyu wa kijijini analicharaza gitaa kwa staili yake isiyo ya kawaida.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau mimi sipondi ila bongo tunahitaji nguvu ya ziada ili kufika hivi viwango. Huyu dada ni Muisrael anaitwa Rudi Bainesay. Anaimba hadi hatari, kawafunika wenye hizi nyimbo Natural Woman by...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom