Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

ON air right NOW! Hawavumi lakini wamo ebwane kuna wasanii wanavipaji huku hatari tupu yaani akina Diamond wafanye fanye wawaite wakasign label ya wasafi tu asee, au akina Barnaba boy au hata SONY...
0 Reactions
1 Replies
827 Views
Season one iliisha ikiwa na episode 11 vipi imeendelea tayari?
0 Reactions
0 Replies
770 Views
Nipo sebuleni nimejipumzisha Hapa.. Sasa Wadogo hapa Wanapenda Sana Kuweka StarTimes Swahili kwa Sababy ya Maigizo ya Kiswahili... Na Mm Nilipofika Hapa nikajilaza Tu kwenye Kochi naangalia Mada...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Please naomba kujua Ni wapi nitaweza kujifunza Kuwa DJ Wa music hasa club
1 Reactions
9 Replies
932 Views
Nimefuatilia coke studio Africa mwaka jana 2015 lakini hakuna wimbo ulionifurahisha kama "REASON" Ulioimbwa na Wangechi, Neyo, Dama do Bling, Maurice Kirya, Ice Prince, Alikiba na Ne-Yo...
0 Reactions
0 Replies
715 Views
You know where I've come from, You know my story, You know why I'm standing here... Tonight, Please don't go, Don't be in a hurry, I'm here to make it clear, Make it right, Well I know I've acted...
0 Reactions
0 Replies
539 Views
Kama wewe ni mpenzi wa series za kikorea nadhani ushawai kuviona hivi vichwa kwenye series mbalimbali. Kwangu mimi hawa ndo best favorite actor of all time kunako series za kikorea.
2 Reactions
82 Replies
13K Views
Akihojiwa na kipindi cha friday night live kinachorushwa na east african tv msanii maarufu Tanzania Tid akijiita mnyama,, hilo lilikuwa ni ombi la mtazamaji wa kipind hicho kwamba kwa sasa mnyama...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau. Ben pol ana wimbo wake mzuri sana unafahamika kama moyo mashine. Sasa huu utaratibu wa kufanya rmx au sijui cover wamefanya wengi sana Ila kuna dada mmoja sijamjua nae kufanya hiyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Karibuni tukumbushane aina ya mziki Wa raggea na wanamziki wake na makundi yao waliowai kukuvutia sana. Mimi napoisikia Shembe ya lucky dube.night nurse Gregory. Ub40 natulia sana.je wewe!
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani sijui wenzangu mnaofatilia Bongo fleva mnaonaje hili! Hivi ulishawahi kusikiliza vema nyimbo za Ally Kiba anazoimba sasa baada ya kutoa ule wimbo wa "Mwana" halafu ukajiuliza Diamond...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habar zenu wadau Hebu tuangalie hii tasnia ya vichekesho bongo. Kifupi ni kwamba kwa sasa tasnia hii imevamiwa yani uvamizi mkubwa umeingia ktk tasnia hii Kumekuwa na idadi kubwa ya...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
... Nimebarikiwa san na uwo wimbo embu na ww ucheki ss
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari,naitaji movie hii mwenye nayo ama link ambapo naweza kuipakua anisaidie,nipatie direct link maana nimetafuta sana kwenye movie site sijaweza kupakua zaid ya ku watch online tu.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Download Shubey K_Platinums-UKIMWI http://muzikipromo.blogspot.com/2016/09/shubey-kplatinums-ukimwi-new-official.html?m=0
0 Reactions
0 Replies
687 Views
mashairi ya kiitikio yanasema. "kwako nimenasa bila ulimbo, kwako sijiwezi mwenzio''. unaitwaje? nani kaimba? natanguliza shukrani.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom