Ulimbukeni na ushamba... wanadhani wakionesha wao ni watu wa filamu za mbele ndo wanakuwa classic fulani!Wabongo bana! Kwa kupenda kuponda vitu vya nyumbani! Hata hao mnaowaangalia na kuwapenda walianza mdogo mdogo kama bongomovie!
Bwa haa haaa haaaaa...hii next level aiseeNiliacha kuangalia pale Wema Sepetu aliposema yeye bado bikra.