Nyimbo inaitwa 'how long''....daaah jamaa karudi vizuriiiiii sanaaaa...big up kwake maaana tulimis fleva zake mda mrefu sanaaaa....kama kawa Sony music wamesimamia mpango mzima mpaka Davido kapata...
kwa wale wapenzi wa Tv shows {series} za wamarekani...mara ngapi umekuta wakitumia kiswahili japo sentence mbili tatu ivi...daaaaa huwa nasikia raha sana nikikutana na hihi hali...for...
Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA!
Mwandishi: SEID BIN SALIM
SEHEMU YA 06
bora nikose kibarua kwa ajili yako madam, naomba unisubiri hapo nje niende nimwambie nimeacha kazi ili japo tuongozane nipajue...
Ikiwa na muda mfupi tu chini siku 10 tu hakuna mtu mwenye hamu na Salome,kelele zote kwisha humu.Kabla haijatoka Salome mlikuja na fujo nyingi sana kuwa ile nyimbo na p square kidogo ikifikisha...
Nikiwa kwenye gari niliona video ya wimbo wa hip hop ulionivutia sana. Sijui jina la wimbo wala msanii ila CHORUS yake ametumia wimbo wa PAPA WEMBA na DIAMOND! Msaada kwa anaeujua vizuri ili...
[emoji95][emoji95]New New New
Video ya "KIJITI CHA MASELA" by GALLA BWAY @galla_bway ft @chippiippii x Gano produced by @t3 . its now out.....directed by @luiArts via YouTube
@tornado_vibez...
Kunawakati mechi hasa za mpira wa miguu huruzhwa live kupitia jamii forum,hii huwasaidia wenzangu na mimi ambao tunategemea sna sim tanashati.
Kitu kinachonipa utata ni mechi nyingi...
Corneille alipoteza familia yake yote mwaka 1994
Mwaka 1994 alikuwa na umri wa miaka 17 akiishi nchini Rwanda kwenye familia moja tajiri na ndoto yake ilikuwa ni ya kuwa muimbaji maarufu.
Lakini...
Wazee wenzangu Ndugu zangu
polen kwa majukum ila nashida
mwenye uwezo naomba anisaidie
Kama kuna mtu ananyimbo za iyo Band
wananjenje naomba anitumie
# Tupendane
#lambwa
#kinyaunyau...
Baada ya kupotea hewan muda mrefu ile site maarufu dunian ya kickasstorrents ni site maarufu kwa kudowload movies,series,games n.k imerud hewan ila wamebadilisha domain sasa hiv wanatumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.