Nimesimama!

Mchaka Mchaka

JF-Expert Member
Jul 20, 2010
4,516
1,404
Artist:II Proud a.k.a Mr.II
Song:Nimesimama
Album: Ndani Ya Bongo(1997)



Akili inanituma kusema nasimama asubuhi na mapema,
nafungua macho naona ktu ambacho kwangu ni kama kiwingu we polisi njoo na pingu,
maisha haya ni mabaya ndio maana vijana wanapenda kwenda ulaya ,
na wasichana wanaamua kuwa Malaya,
ni nani amlaumu nani, yeyote popote, usifanye chochote waachie watu wote ni wakati uwazi
mbona mi nikisema unabaki mdomo wazi, we kiongozi,
umeshafanya nn na utafanya nn mwakani,
kabla hujanipeleka gerezani, niskilize kwa makini nasema nn,
mi naasa muziki sio anasa ni siasa na sasa nasimama nasema mambo mema Kwa nchi yangu njema.

Chorus
Nimesimama..akili inanituma kusema ..na we simama
sikiliza ninachosema..nimesimama x 2

Kwenu maisha ni matamu,
kwetu ni magumu ndio maana tunalaumu.
Vita inayoendelea kati ya polisi na wamachinga,
wengi tunapinga ni vipi mi nirudi kijijini wakati mbunge wangu yuko mjini,
anatunua na shangingi mi nna akili nyingi toka msingi mpaka sekondarii, ila naona hatarii kwenda chuo kikuu naogopa FFU watanivunja miguu ntapogoma kusoma mi nasema ili msije kusema mi sikusema,
siku za nyuma mama alisema dunia tambara bovu inanibidi niwe shupavu, wako wanaoniona mi mpumbavu na wako mi mwerevu maisha ndivyo yalivyo kila ktu ovyo ovyo kampeni za uchaguzi zaambatana na matusi sijapata kusikia ni demokrasia au ghasia………
……………..
Repeat chorus.
--------------------------------------------------------------
Hizi ndio zilikuwa message kwenye nyimbo nyingi za enzi hizo.
mambo haya ya kubana Pua, wanaume kutoga masikio, kuweka kalikiti(km diamond) hayakuwepo enzi hizo. Duh natamani muziki huu wa kizazi kipya ungebaki kama zamani.
 
Artist:II Proud a.k.a Mr.II
Song:Nimesimama
Album: Ndani Ya Bongo(1997)



Akili inanituma kusema nasimama asubuhi na mapema,
nafungua macho naona ktu ambacho kwangu ni kama kiwingu we polisi njoo na pingu,
maisha haya ni mabaya ndio maana vijana wanapenda kwenda ulaya ,
na wasichana wanaamua kuwa Malaya,
ni nani amlaumu nani, yeyote popote, usifanye chochote waachie watu wote ni wakati uwazi
mbona mi nikisema unabaki mdomo wazi, we kiongozi,
umeshafanya nn na utafanya nn mwakani,
kabla hujanipeleka gerezani, niskilize kwa makini nasema nn,
mi naasa muziki sio anasa ni siasa na sasa nasimama nasema mambo mema Kwa nchi yangu njema.

Chorus
Nimesimama..akili inanituma kusema ..na we simama
sikiliza ninachosema..nimesimama x 2

Kwenu maisha ni matamu,
kwetu ni magumu ndio maana tunalaumu.
Vita inayoendelea kati ya polisi na wamachinga,
wengi tunapinga ni vipi mi nirudi kijijini wakati mbunge wangu yuko mjini,
anatunua na shangingi mi nna akili nyingi toka msingi mpaka sekondarii, ila naona hatarii kwenda chuo kikuu naogopa FFU watanivunja miguu ntapogoma kusoma mi nasema ili msije kusema mi sikusema,
siku za nyuma mama alisema dunia tambara bovu inanibidi niwe shupavu, wako wanaoniona mi ******** na wako mi mwerevu maisha ndivyo yalivyo kila ktu ovyo ovyo kampeni za uchaguzi zaambatana na matusi sijapata kusikia ni demokrasia au ghasia………
……………..
Repeat chorus.
--------------------------------------------------------------
Hizi ndio zilikuwa message kwenye nyimbo nyingi za enzi hizo.
mambo haya ya kubana Pua, wanaume kutoga masikio, kuweka kalikiti(km diamond) hayakuwepo enzi hizo. Duh natamani muziki huu wa kizazi kipya ungebaki kama zamani.
umenikumbusha mbali sana,albam hii na king kong nilizinunua,mshua akawa ana-mind siipumzishi radio yake panasonic bouble deck
 
Nikumbushe pini zingne za albam ile 'ndani ya bongo' manake nilizimeza zote ati leo nimesahau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom