Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Jamani Clouds Fm mnaboa sana. Huu mziki wa singeli sijafaham mnaupendea nini? Maana hauburudishi wala kuelimisha. Yaani ni kelele tu hadi napata ukakasi nakubadili stesheni redio. Wakuu...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
kuna wimbo huu ameimba Mchungaji Faustin Munishi nimejaribu kuutafuta mtandaoni nimeukosa ila maneno yake yako hivi... "mokozi iiii Yesu...Kazi nimemaliza aaah... nitume tena niende na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
http://burhoneymponda.com/2016/11/download-audio-ditto-moyo-wa-subira/
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani mimi ni mpenz wa series za kikorea niambieni nzurinzuri kama Giant hivi ama east of eden ama scandal nataka za sampuli hii za.kifalmefalme sipend sana.napenda za visasi na mkono kidogo...
0 Reactions
23 Replies
24K Views
Msanii RICH MAVOKO ambaye yuko chini ya lebo ya WCB aachia kibao kipya alichomshirikisha DIAMOND kinachoenda kwa jina la KOKORO...Ila katika kupromote kazi hiyo diamond aandika maneno yenye utata...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
BASATA: Baraza la Sanaa Tanzania limesema linaihakiki video ya wimbo mpya wa Rich Mavoko, Kokoro ili kuona kama wanawake wamedhalilishwa. Basata wameandika kwenye ukurasa wao wa twitter===>Baraza...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
zamani nilikuwa naona mziki unaotumia vyombo hivi wanasikiliza watu fulani pretentious, sikujua unaweza kunivutia hivi. hii ni hiphop.
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Kituo kikubwa cha MTv base Africa leo limetoa wana hiphop 10 bora wa Tanzania waliofanya vizuri 2016. 1. Fid Q 2. Joh Makini 3. AY 4. MwanaFA 5. Roma 6. Mr. Blue 7. Nikki wa pili 8. G...
2 Reactions
86 Replies
11K Views
Mambo anayo yafanya diamond n kama mtu na degree zake.. Cz anajua kutumia udhaifu wa washndani wake ana jifunza kwa wapinzan wake bt haigii... OUR ICON [emoji109] [emoji109] [emoji109]
0 Reactions
6 Replies
781 Views
Kutoka WCB ni Diamond Platnumz akimshirikishwa Vyema Msafi Rich Mavoko katika wimbo Unaoitwa Kokoro, wimbo Huu upo HAPA.
0 Reactions
3 Replies
6K Views
habarini wadau, kwa wale wafuatuliaji wa vipindi ktk channel hiyo ningependa mnijuze vipindi vya mieleka (wrestling) huwa vinaoneshwa siku gani na masaa gani. Karibuni.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa Ubora wa Sauti, ni waimbaji Wawili tu wanaokidhi viwango hapa Bongo/Tanzania, nao ni Alikiba na Christian Bella. Changia.
3 Reactions
1 Replies
981 Views
Naomba mwenye mashairi ya wimbo wa taarabu manahodha wa mashua kwanini wakae nyuma tupige vigelegele tukishafika salama ni kinyume cha sheria kimwendo na usalama manahonda wa mashua kwann wakae...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya kuona team ali kiba ni wazee wa kulia lia leo ndo wakaamua watukomeshe kabisa hii imedhihirika baada ya post yao kuwataka team kiba wapige kelele kama kwel alikiba ni bestdressed east...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kiukweli nyimbo za hip hop za bongo zinazozungumzia mapenzi ndizo huwa na hisia za kweli ndani yake. Wabanapua huimbia kupata sifa tu Sikiliza nyimbo zifuatazo utapata hisia za kweli; 1...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wewe kama mdau wa Music unaionaje ngoma,,,,,, Kuidownload ingia hapa AUDIO: DOWNLOAD NEW HIT DIAMOND PLATINUM FT NEYO-I WANT TO MARY YOU,,,, AUDIO: DOWNLOAD NEW HIT DIAMOND PLATINUM FT NEYO-I...
0 Reactions
2 Replies
16K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…