MorTimer
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 1,195
- 968
Msanii RICH MAVOKO ambaye yuko chini ya lebo ya WCB aachia kibao kipya alichomshirikisha DIAMOND kinachoenda kwa jina la KOKORO...Ila katika kupromote kazi hiyo diamond aandika maneno yenye utata kwenye ukarasa wake wa Instagram.Ni kama kijembe kimerushwa kwa mtu..!!
Kama mnavyoona hapo kwenye picha wakuu naomba tusaidiane hili neno KUPUMULIA lina maana gani katika kukuza lugha yetu ya Kiswahili.
Wataalamu wa lugha humu tusaidiane hii sentensi anaposema "MTOTO WA KIUME KUMCHUKIA MWANAUME MWENZIO KISA KAKATAA KUKUPUMULIA NAYO NI KOKORO" anamaanisha nini ..??...!!!!
[HASHTAG]#Angalizo[/HASHTAG]: Sina Team wala sifungamani na upande wowote.
Kama mnavyoona hapo kwenye picha wakuu naomba tusaidiane hili neno KUPUMULIA lina maana gani katika kukuza lugha yetu ya Kiswahili.
Wataalamu wa lugha humu tusaidiane hii sentensi anaposema "MTOTO WA KIUME KUMCHUKIA MWANAUME MWENZIO KISA KAKATAA KUKUPUMULIA NAYO NI KOKORO" anamaanisha nini ..??...!!!!
[HASHTAG]#Angalizo[/HASHTAG]: Sina Team wala sifungamani na upande wowote.