Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

'' Nakupenda sana hip hop, Zaidi ya machizi wangu wa kitaa, acha wale naokesha nao Baa... '' Hizo ni ladha katika moja ya kazi zake zilizowahi kubamba sana hapa Bongo in hip-hop community. ROHO...
0 Reactions
12 Replies
15K Views
Wadau, miongoni mwa nyimbo ziletazo mitafaruku hadi leo ni wimbo huu maarufu uitwao Malaika. Malaika, nakupenda malaika Nami nifanyeje, kijana mwenzio Nashindwa na mali sina Ningekuoa malaika...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Leo nimefurahi sana baada ya kupata kifaa cha #TECNOPhantom6Plus chenye camera 21#megapixels na 4GB #RM, kiukweli nakula burudani kisawasawa. Mfukoni inamilikiwa na mimi mwenyewe, chezea! TECNO...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Wakuu shida yangu kubwa ni hivi vitabu.Naomba msaada kwenu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimewamiss sana hawaa jamaa KALASHAKA na PLASTAZ
0 Reactions
0 Replies
720 Views
-Ipo hewani muda huu kupitia startv -Mashindano yanafanyika Mwanza kwa mara kwanza. -Watangazaji wamepoa sana wanaonekena ni wageni shughuli hii -Star tv wanakataka sana matangazo sijui shida ni...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna kila dalili ya kufanyika collabo nyingine ambayo haijawahi tokea ndani ya Crew ya WCB kati ya Boss wa label hiyo kubwa ya muziki hapa nchini na nje ya nchi, Nassib Abdul "DIAMOND PLATNUMZ"...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Miongoni mwa waasisi wa muziki wa kufoka foka Tz ni huyu jamaa. Kwa wale wa umri wa kati nadhani wanamkumbuka vizuri sana ktk tasnia ya muziki. Alifungua milango ya kurap kwa kiswahili jambo...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Ngoja nikupe kwanza tafsiri sahihi na rahisi ya record label: ni ‘brand ya biashara inayohusiana na masoko ya rekodi za muziki na video za muziki, studio ya kurekodi. Pia ni kampuni inayojihusisha...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Axe wadau kunafoleni zina kera hadi kero,hii hutokana na mda ambao watu hutumia kupata huduma mbalimbali kama za kibenk,huduma za matibabu,chakula n.k.Binafsi foleni inayotumia zaidi ya lisa...
0 Reactions
2 Replies
694 Views
Hakuna asiyefahamu kuwa muziki wa Singeli ni miongoni mwa miziki inayofanya vizuri zaidi hapa nchini kwa sasa lakini pia umezalisha ajira kwa vijana wengi na umetufanya tuuamini ni muziki wa asili...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
km una GTA IV na upo Dar naomba unisaidie km unahitaji malipo utalipwa
0 Reactions
0 Replies
814 Views
Wakuu haka kawimbo leo tangia najiandaa kuingia job kanagonga akilin mbaya sanaaaa Tumia akili kukatafakari mbona hakachuji Contents za akil
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Mfahamu vyema Miss Tanzania kwa kubofya link hapo chini Diana Edward, Miss Tanzania 2016 namna ilivyokuwa ~ Eman Mic's WEBSITE
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama una kipaji cha kuimba,kuigiza,kuchora,kucheza mpira, uandishi,uongozi,uanaharakati(Activists), model/fashionist na unataka unufaike na kipaji chako pia utambulike kupitia kipaji chako...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Hakuna anaetamani kwenda kupofuka macho kwa vumbi lenye mchanga. Hakuna anaependa kuacha upepo wa bahari na akakutane na upepo wa jangwa.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
The six-member crew of the International Space Station is tasked with studying a sample from Mars that may be the first proof of extra-terrestrial life, which proves more intelligent than ever...
0 Reactions
0 Replies
630 Views
Back
Top Bottom