Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 828
BadoVijana wanakimbiza kwa views hivi umesha fikisha masaa 24 toka kuachiwa?
Acha kujiabisha mbele za watu....!! Video ukifungua tu unakutana na Google Ads halafu bado unatarajia views ziwe za kununua?! Hivi tangu alipoanza kuambiwa ananunua, hadi leo Google wanamuachia tu?!Hizi hizi za kununua lazima zipae sana
Mbaya zaidi Google hao hao juzi juzi tu wamempa tuzo.Acha kujiabisha mbele za watu....!! Video ukifungua tu unakutana na Google Ads halafu bado unatarajia views ziwe za kununua?! Hivi tangu alipoanza kuambiwa ananunua, hadi leo Google wanamuachia tu?!
Hapa sasa... ndo maana nikamwambia atajiabisha mbele za watu! Unajua watu wanadhani kununua views ni kama kununua nguo dukani.... yaani makampuni yanalipa thousands of dollars kununua Google Ads halafu matangazo yawe viewed na fake viewers na wabaki kimya!!Mbaya zaidi Google hao hao juzi juzi tu wamempa tuzo.
Google wapo kipesaAcha kujiabisha mbele za watu....!! Video ukifungua tu unakutana na Google Ads halafu bado unatarajia views ziwe za kununua?! Hivi tangu alipoanza kuambiwa ananunua, hadi leo Google wanamuachia tu?!
Hawa jamaa kweli wabaya,wananunua hadi shoo,kibabu na kile kishoga wanaishia Mombasa.Hizi hizi za kununua lazima zipae sana
Na hao wanaowapa Google pesa unadhani ni vilaza wasiojua automated views?!Google wapo kipesa
Mziki wa ujanja ujanja wimbo mbaya hauna hata cha kujifunzaNa hao wanaowapa Google pesa unadhani ni vilaza wasiojua automated views?!
Pole; inaonekana ulikuwa unaongea kitu usichokijua!! Rudi kwenye mada; Google wanajali pesa; na vipi kuhusu wanaowalipa hao Google?! Kama huna jibu basi piga kimya na uache kuongea vitu usivyovijua!Mziki wa ujanja ujanja wimbo mbaya hauna hata cha kujifunza
Kuna mijuha inaamini kweli mtu anaweza kufanya upuuzi wa kununua views, YouTube sio wapumbavu wakulipe kwa kununua views, huyo anaeweza kuongeza views kwanini asianzishe yake akawa anapiga kuliko kumuuzia mondi?Acha kujiabisha mbele za watu....!! Video ukifungua tu unakutana na Google Ads halafu bado unatarajia views ziwe za kununua?! Hivi tangu alipoanza kuambiwa ananunua, hadi leo Google wanamuachia tu?!
Hapo sasa... na hata ukiangalia hao wanao-claim kuuza genuine views; waulize wakuoneshe channels zao; hawakuoneshiKuna mijuha inaamini kweli mtu anaweza kufanya upuuzi wa kununua views, YouTube sio wapumbavu wakulipe kwa kununua views, huyo anaeweza kuongeza views kwanini asianzishe yake akawa anapiga kuliko kumuuzia mondi?
Mi nasema hivi, na wanunue tu pesa si wanazo ..........kwani sh'ngap hadi washindwe..........????Google wapo kipesa