Napenda kuwajulia hali wana jf...
Nimefatilia categories za eatvarwads cjaona jina hata moja la member yyte wa wcb ukizingatia ki ukweli ndo kundi/label ambalo limefanya vurugu sana kwenye music...
Waungwana naombeni anae jua application nzur ya ku download move kupitia simu,mm naijua UCB browser ttz hii ime base kwenye TV series mm nataka move as move,please[emoji120]
ommytech.com inakupatia huduma ya hosting kwenye website yako pia kununua domain kwa bei rahisi kabisa kma utahitaji wasiliana nasi kwa namba zifuatazo 0752292473 karibun
Katika mkutano na wandishi wa habari mkuu amenukuliwa akisema "angependa sana kama nayeye angepata mwaliko toka kwa ruge ili ashiriki fiesta Imoo kwani ndo itakua tarehe yake halisi ya kusherekea...
Nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa Channel mpya ya DSTV kwa ajili ya East Africa inayoitwa Trace Muziki Kwa ajili ya kupiga ngoma za wanamuziki wa kutoka afrika mashariki, lakini nimekuwa disappointed...
Nina mahaba sana na hawa jamaa wa hili kundi la West life toka nikiwa shuleni.
Leo shauku ya moyo wangu nataka kulileta nchini kundi hili kwa gharama yoyote ile.Mwenye full details kuhusu gharama...
Igizo hili limehusisha mandhari ya kijijini na mjini.Ni zuri sana kwani linaelimisha kuhusu uongozi mbaya,kutafuta haki,matumizi mabaya ya fedha,uhuni n.k. usikose kuangalia ni kila jumamosi saa...
Moja kwa moja kwnye Hoja.
Nimejaribu kuufuatilia mziki wa kisingeli na kujiridhisha kua mziki huu unakuzwa kwa ushabiki wa Media na wasaka Tonge , ila ni mziki usio na ladha kamili ya Burudani...
Katika makala hii usipokuwa makini kidogo unaweza kudhani sipendi music videos nzuri au za gharama, lahasha,napenda video nzuri. Naandika makala hii ili tujadili kuhusu muziki wetu usonge mbele...
Habari wana JF
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya music fans wote. Lengo ni kukumbushana musiki wa kibongo hasa zile track zenye jumbe kuntu za kufundisha jamii katika...
J.H. Chase kwangu mimi ni mwandishi bora wa novel wa wakati wote, ameandika novel nyingi sana.
Novel 3 bora kuwahi kuzisoma toka kwa James Hadley Chase ni;
Knock Knock Who's There
No...
Wadau nina shida na nyimbo za bendi ilikua ikijulikana kama Mchinga sound,
Pia na nyimbo za TOT plus , Mwenye nazo tafadhari.
Natanguliza shukrani za dhati.
Rejea kichwa tajwa.
Ninatafuta audio moja hivi ambayo ni kama stori iliyokuw ktk mfumo wa shairi inayoelezea mahusiano y mdd n mkk ambako yanapoishia ni kuwa dada anaambukizwa ugonjwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.