1. Joh Makini ft. Chidinma - Perfect combo
2. Darasa ft. Ben Pol - Muziki
Kwa mwaka 2016 kwangu hawa jamaa ndio waliofanya vizuri. Salute jamani, salute tena na tena.
Wimbo unaosubiriwa kwa hamu wa Diamond Platnumz -Marry You ft Ne-Yo tayari upo iTunes. Tupende vya kwetu, tussupport juhudi za Diamond kwa kununua huu wimbo iTunes.
Link:: Marry You (feat. Ne-Yo)...
Natumaini family ya jamii forum muko powa.Kama kawaida yetu ya kujadili maada mbalimbali zinazogusa maisha yetu ya KTZ.Vifurushi vya sikuizi ni chaguo la watu koz mitandao karibia yote inawajali...
Hii tamthilia niliwahi kuiona zamani TBC tangu nipo primary,
niliipenda sana na nakumbuka enzi zile ilikuwa inaonyeshwa iliwateka watu wengi sana na ilikuwa gumzo kubwa.
Nilipopata Smartphone...
Muziki ni sanaa kama sanaa zingine yenye lengo la kufundisha,kuburudisha,kuhamasisha,kukosoa n.k..ukisikiliza wimbo kuna baadhi ya lines katika wimbo huo zikakuvutia kwa namna moja au nyingine...
To be honest cjaona utofauti uliopo kati ya hizi eatv award na ktma labda jinsi ya kupata nominees ndo nimeona kuna ka utofauti kidogo lakini jinsi ya kupata mshindi naona wanarudia yaleyale ya...
Habari za jumapili,kuna action movie moja ya kizamani kama kuna mtu atakuwa anajua jina lake naomba anitajie,maudhui yake ya ndani kuna kikundi wanajiusisha na utengenezaji wa mafuta ya mawese...
Hello guys,
Hizo tuzo za eatv zingetakiwa zifanane kama zile tuzo za bet, au Grammy, I mean kuwe na mascreen makubwa, stage zinazobadilika, pamoja na ukumbi mkubwa wa kukaa thousands of people...
habari za wiki end
poleni na uchovu wa gwaride la uhuru day
Naleta mada tushirikiane kuweka list ya mastaa ambao hawapo kistaa ie hawapendezi japo wanavaa, hawana mvuto wa kicelebrity,
list yangu...
Mashabiki wa sanaa nchini na Afrika Mashariki leo Jumamosi ya Desemba 10 watapata kujua wasanii wa muziki na filamu watakaoibuka washindi wa tuzo kubwa kuwahi kufanyika nchini na Afrika Mashariki...
Kesho ndio tarehe 10/12/2016 siku ambayo nimekua nikiwaza hili na lile kuhusu hii tarehe. Kuna vituo viwili vikubwa nchini Clouds Tv na Eatv.
Eatv wamekuja na ubunifu mpya kabisa baada ya...
Habari zenu wadau
Jamani naomba msaada wa kuzipata nyimbo za zamani zilizokuwa zinahimiza uzalendo mf. Kijana uwe tayari na nyingine mnazozifahamu. Au kama kuna link yoyote ninayoweza kuitumia...
Ukweli kuwa kila mtu hivi sasa akifanikiwa katika kidogo katika mziki anawaza kuanzisha lebal na studio mfn allykiba,diamond,barnaba,cristian bella,banana zolo n.k.
naomba kujadili au niulize je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.