Kwa wale walioitazama FAITH (Korean drama)

Kwa wale walioitazama FAITH (Korean drama)

Khantwe

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
61,156
Reaction score
124,772
Wakuu samahani kwa usumbufu..mwenzenu hii movie sijafanikiwa kuielewa kabisaaa
Kinachonichanganya ni yule dada (Eun soo)...mimi sikuelewa kabisa,inakuwaje alikuwa anajua mambo yaliyopo na yatakayotokea akidai kuwa amesoma kwenye history?
Na inakuwaje anaonekana yeye huyohuyo alikuwepo kwenye eneo hilo miaka mingi iliyopita na huku yeye mwenyewe akiwa hajui chochote kuhusu hilo?
Ni maswali mengi huwa najiuliza ila nikipewa ufafanuzi naweza kufunguka akili nikaelewa na mengine.. Sina hakika kama nimeeleweka.
Samahani kwa usumbufu jamani naomba msichukie. nifah nisaidie kuniitia na wengine unaowajua
 
Last edited by a moderator:
Wakuu samahani kwa usumbufu..mwenzenu hii movie sijafanikiwa kuielewa kabisaaa
Kinachonichanganya ni yule dada (Eun soo)...mimi sikuelewa kabisa,inakuwaje alikuwa anajua mambo yaliyopo na yatakayotokea akidai kuwa amesoma kwenye history?
Na inakuwaje anaonekana yeye huyohuyo alikuwepo kwenye eneo hilo miaka mingi iliyopita na huku yeye mwenyewe akiwa hajui chochote kuhusu hilo?
Ni maswali mengi huwa najiuliza ila nikipewa ufafanuzi naweza kufunguka akili nikaelewa na mengine.. Sina hakika kama nimeeleweka.
Samahani kwa usumbufu jamani naomba msichukie. nifah nisaidie kuniitia na wengine unaowajua
Mkuu...
Hakuna aliyekujibu mpaka leo..!?
 
Wakuu samahani kwa usumbufu..mwenzenu hii movie sijafanikiwa kuielewa kabisaaa
Kinachonichanganya ni yule dada (Eun soo)...mimi sikuelewa kabisa,inakuwaje alikuwa anajua mambo yaliyopo na yatakayotokea akidai kuwa amesoma kwenye history?
Na inakuwaje anaonekana yeye huyohuyo alikuwepo kwenye eneo hilo miaka mingi iliyopita na huku yeye mwenyewe akiwa hajui chochote kuhusu hilo?
Ni maswali mengi huwa najiuliza ila nikipewa ufafanuzi naweza kufunguka akili nikaelewa na mengine.. Sina hakika kama nimeeleweka.
Samahani kwa usumbufu jamani naomba msichukie. nifah nisaidie kuniitia na wengine unaowajua
Ukiangalia kwenye ile drama ni kama kuna time line ambaye yule dokta anarudishwa nyuma, na yule jenerali alipo enda kumchukua yule dokta ni alienda mbele sana ya time line yao.
Kwa hiyo ni sawa na wewe leo urudo kipindi chifu mkwawa ana pigana na mjerumanj si utakiwa unajua mwisho wa siku alijiua?
Ndo ile stori ilivo, wakati yule dokta ana pitishwa kwenye ile tunnel alirudi nyuma miaka kibao ya historia kwa hiyo alikuwa asha ya soma matukio yaliyo watokea wote wale.
Khantwe

*uwa nashindwa kujua walio tengeneza ile drama waliwaza nini kwa kweli.
 
Mi niliishia kati nmeshindwa kuielewa vzr pia nahisi Lee Min Ho (city hunter)anawezea movie za kimjini sio kijijini ni tozi tozi flan hivi
 
Hayo ni mambo ya kusadikika

Ndo maana ikaitwa FAITH kama unataka uielewi vizuri itazame tena
 
Yaani baada ya kuangalia The Legend of The Blue Sea ndo nimeielewa hii movie. Nitairudia niielewe vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom