one by one
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 5,835
- 9,325
Kwa kweli hawa wanamuziki waimbe studio tu huko sauti zinatengenezwa hata mimi naweza live wako hovyo sauti mbaya WCB jamani nawapenda kwenye CD tu nikawasikia live nawashusha hasa huyo Queen Darlen sijui mbona wa Congo live utawependa kuliko CD, siri ni nini?