Entareyehirungu
JF-Expert Member
- Oct 27, 2006
- 488
- 471
Hii hali na maandalizi ya askari katika uwanja wa Taifa yanatoa tafsiri tata.
Haieleweki ni washabiki wataangalia mchezo wa mpira au vita kati ya majeshi yetu na adui asiyejulikana.
Maandalizi ya majeshi yanaonekana kuwa ya juu zaidi kuliko hata timu zilizopangiwa kucheza mechi leo!
Pasipokujua majeshi yanawakomaza wananchi kuzoea hali za vitisho na mazingira ya kivita. Na kama TFF haitakemea vitisho hivi, itakuwa inapalilia anguko la mchezo na mapato kwa ujumla.
Ninabashiri sarakasi kubwa za baadhi ya watu wazito kuzuiwa kuingia uwanjani leo hii. Au kudakwa kwenye mageti ya kuingilia na kupelekwa central kwa visingizio kama vile "tulikuwa tunamtafuta"

Haieleweki ni washabiki wataangalia mchezo wa mpira au vita kati ya majeshi yetu na adui asiyejulikana.

Maandalizi ya majeshi yanaonekana kuwa ya juu zaidi kuliko hata timu zilizopangiwa kucheza mechi leo!
Pasipokujua majeshi yanawakomaza wananchi kuzoea hali za vitisho na mazingira ya kivita. Na kama TFF haitakemea vitisho hivi, itakuwa inapalilia anguko la mchezo na mapato kwa ujumla.
Ninabashiri sarakasi kubwa za baadhi ya watu wazito kuzuiwa kuingia uwanjani leo hii. Au kudakwa kwenye mageti ya kuingilia na kupelekwa central kwa visingizio kama vile "tulikuwa tunamtafuta"