Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wadau Katika Pita Zangu Nimeusikia Wimbo Wa Inspector Haruni Ambao Amemchana Roma Mkatoliki Kumbe Ni Mfuasi Wa Gwajima, Mwenye Nao Jamani Atuwekee
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Miongoni mwa movies ambazo nina mahaba nazo ni zile zenye mchanganyiko WA casts/washiriki waarabu na waamerica maana hapa huwa kuna feelings za hali ya juu kutokana na uhasama WA hizi pande...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu naomben mwenye kujua link ya kudownload translated korean series anisaidie kuiweka hapa.
2 Reactions
93 Replies
27K Views
Kwa wale ambao hamkuifuatilia prison break sawasawa na mnatamani kama mimi kuanza kuifuatilia na kuielewa season 5 vizuri, hii hapa summary ya season 1 mpaka 4 kwa maandishi. SEASON 1: In the...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Nimekutana na kipande hiki cha movie, kwa kweli nimewakubali walioitengeneza
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna daladala nimepanda dereva amevaa jezi ya Arsenal. Imebidii nishuke sababu najua hatutafika mbali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Filamu zina raha yake bana. Zipo filamu ambazo huwezi choka kuziangalia na ni filamu zilizowahi kuangaliwa na watu wengi sana pia kupenda. Kwa upande wangu napenda sana filamu kama Sarafina (hasa...
2 Reactions
56 Replies
6K Views
Fox sports, kombat sports hizo channel zipo kwenye azamtv, nauliza wanaonyeshaga UEFA champions league?? Au kuna channel yoyote ya azamtv inayoonyesha UEFA? Anaejua anijuze
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni Series nzuri kuangalia hasa wanaopenda mambo ya u-spy, intelligence agencies na kupigana.
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Natafuta soko la kuku jamani ,,,anaefahamu vizuri Niko Tanzania please naomba anidirect
0 Reactions
0 Replies
397 Views
Nyonda wa Bw. James...James Jeddah akizungusha nyonga huku kibao cha yule mfalme wa miduara Afrika Mashariki na Kati Bw. Ali Tall almaaruf kama AT kikisikika. Kwa nyonga hiyo sina shaka yoyote...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Hii ni hip hop eeeh! "If hiphop has ability to corrupt young minds also it has ability to uplift them."
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Kweli kila nyakati na mambo yake, nakumbuka michezo ya maigizo kipindi hicho ilivokuwa ina trend. Enzi za kaole kila jumamosi baada ya taarifa ya habari tu, watu macho kwenye TV, mambo hayo...
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Naomba sana,Wachezaji wa Simba na viongozi mtuunge mkono ktk group letu la what's up la Umoja wetu ni ushindi wetu la mashabiki wa Simba kili baadhi ya mambo yawe yanatufikia na kuwafikia,lengo...
0 Reactions
1 Replies
614 Views
Uwa namsikiza saana huyo bwana, kwa upande wangu nakiri wazi Hakuna msanii mwenye kugusa hisia kwa namna taamu na ya kipekee kwa nyimbo zilizojaa ujumbe na ushawishi wa ajabu kama Tosh. Mtu pekee...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
When I die-No mercy Count on me-Whitney Houston
0 Reactions
2 Replies
890 Views
Wasanii hapa nchini either wamekosa elimu au wana elimu sana wamekosa maarifa au Life skills ya kazi zao. Tutakubalina wote kwa pamoja kua wasanii wote kabla ya kutoa kazi zao midomo kwanza...
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Hii channel ni nzuri sana ila shida ni moja hawaandikiki jina la muziki wala alieimba. Wakati wimbo unachezwa
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…