tanzanite miner
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 257
- 172
Ni udhalilishaji kwenye tasnia ya sanaa hapa nchini kwa kauli kama ile kutoka kwa Diamond(kama ni kweli)
Amedhalilisha wanawake wote duniani na hasa kwa kinadada wanamuziki. Dharau hii nadhani ni ule msemo kua masikini akipata (..).
Haya sasa swali kwenu kinadada kweli nyie ndivyo mlivyo kuwa mnatumika sana au ?!!
Amedhalilisha wanawake wote duniani na hasa kwa kinadada wanamuziki. Dharau hii nadhani ni ule msemo kua masikini akipata (..).
Haya sasa swali kwenu kinadada kweli nyie ndivyo mlivyo kuwa mnatumika sana au ?!!