Nibozali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 572
- 1,055
Mimi nilikuwa miongoni mwa watu Wa mwanzo kabisa kufanya tathimini na kutoa maoni yangu khusiana na wimbo Wa Darasa hasara roho, ambapo nilisema kuwa inaonekana hata ule wimbo Wa muziki alibahatisha.
Sasa wengi mtakubaliana na mimi kwani wimbo huo hata haujamaliza wiki kwenye chati umeshapotea!!!!! Kweli muziki kipaji!!!!
Sasa wengi mtakubaliana na mimi kwani wimbo huo hata haujamaliza wiki kwenye chati umeshapotea!!!!! Kweli muziki kipaji!!!!