Ni swala la muda I believe kuna mengi yanakuja kwa huyu bidada maana anajua na kuimba na amepitia kwenye mikono ya gwiji la rhumba DRC Congo Simaro Lutumba.
Ni kipaji halisi kabisa. Siyo mchezo dada anacharaza solo anaichezesha minjemba ndombolo uliona wapi?.
Kwa Werrason ni kupata platform nzuri ya kutoka na ametoa wengi.
Na hii ndiyo namna nzuri na murua ya kukuza na kulea vipaji vya kudumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.