Marashaaa95
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 842
- 709
Kiukweli me nashindwa kuelewa sijui wana matatizo gani...eti nasikia wanatamani hâta anko Magu awe wao sijui wamelimisi rhumba kali?!!..wanaona sie tunafaiidi dozi ya kupauka nguo mpaka mwili...haya kilimanjaro yao...Samatta wanasema wao...kiba na Mondi wao...alafu wanachagua vinyukwa tu...mbona hawasemi harmorapa au kibiti ipo kwao?!!..kuna haja ya kuwashughulikia hawa ndugu zetu..kiukweli kabisa..wanaboaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app