jombi95
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,405
- 2,189
hivii utaratibu wa bann ukoje wakuu. ..??
tunapigana tuuu bilaa kupewa taarifa na kama kuna kosa kwanni tusiambiwe kwanzaa na hao ma mods.Tangu juziii nilikuwaa najalibu ku login JF naambiwa no posts kumbe ndo nilipigwa bann ivoo na kosaa langu silijui. hivi na wengine pia huwa amuambiwi kosa na muda wa hyo bann ..??
Sent using Jamii Forums mobile app
tunapigana tuuu bilaa kupewa taarifa na kama kuna kosa kwanni tusiambiwe kwanzaa na hao ma mods.Tangu juziii nilikuwaa najalibu ku login JF naambiwa no posts kumbe ndo nilipigwa bann ivoo na kosaa langu silijui. hivi na wengine pia huwa amuambiwi kosa na muda wa hyo bann ..??
Sent using Jamii Forums mobile app