baest
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 273
- 171
Ni siku ya pili mama huyu ameachia video yake ya kichaka ambayo ndani yake Kuna belle 9, na Gnako.
maudhui yake ni mahaba/ mapenzi lakini picha zake zimejawa na mavazi ya kiasili na vitenge ...safi sana.
Nimevuta taswira kama diamond au alikiba kama angeachia video kama ile.
Kama tu wanasiasa na baadhi ya waimbaji wa injili walishindwa kujizuia kutoa ya mioyo yao juu ya nyimbo za "mafahali" hao wawili.
nimekuja kubaini kuwa ...muziki ni hisia, hulazimishwi kupenda kama hujashawishika.
Ila cha ziada kwa hapa bongo, lazima uwe na bifu au utafute kiki.
Simaanishi mama utafute kiki kwa msanii unayemuweza, la hasha, ila tunakutia moyo kuwa muziki wako una ladha ambayo ni sisi wachache labda "wa kizamani" tunapenda.
Hongera....mama/shangazi
Doubt is a liar
maudhui yake ni mahaba/ mapenzi lakini picha zake zimejawa na mavazi ya kiasili na vitenge ...safi sana.
Nimevuta taswira kama diamond au alikiba kama angeachia video kama ile.
Kama tu wanasiasa na baadhi ya waimbaji wa injili walishindwa kujizuia kutoa ya mioyo yao juu ya nyimbo za "mafahali" hao wawili.
nimekuja kubaini kuwa ...muziki ni hisia, hulazimishwi kupenda kama hujashawishika.
Ila cha ziada kwa hapa bongo, lazima uwe na bifu au utafute kiki.
Simaanishi mama utafute kiki kwa msanii unayemuweza, la hasha, ila tunakutia moyo kuwa muziki wako una ladha ambayo ni sisi wachache labda "wa kizamani" tunapenda.
Hongera....mama/shangazi
Doubt is a liar