Verse yake iko hv
'Kazi yao yote ua bure, sasa wanaona ubaya
Sisi sasa nawashambulia, wasijue hata lakufanya
Jeuri yao wote sasa, imekwisha kabisa leo
Kucheza na miziki ya watu,sasa wamekwisha kabisa
Cheza goma na cham la dar bomba
Tucheze zilipendwa*2
Huu wimbo umeimbwa na kundi la Dar Bongo Massive (DABOMA) wakiongozwa na Goodluck @ Goodie Sense. Wimbo huu kwa sehemu kubwa (midundo, mashairi na hata melodia) umekuwa "sampled" na wimbo wa Kilwa Jazz (nimeusahau jina).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.