Mke wangu alianza tabia ya kuimba moyo sukuma damu... kila tukiwa na argument. Nikipiga simu yake inaimba same melody hadi ikanikera... Nikakumbuka kitabu cha walukaga the blacksmith pale alipoambiwa "when someone ask you for impossible, answer impossible"....
nami nikaamua kuweka ringtone yangu nyimbo ya safari sound "nilikupenda sana mfano wa maua ---
baada ya siku tatu nikasikia anaongea na shoga yake....leo hii wiki ya pili katoa na kaanza kuwa mnyenyekevu....
kweli dawa ya moto ni moto!!!!
nami nikaamua kuweka ringtone yangu nyimbo ya safari sound "nilikupenda sana mfano wa maua ---
baada ya siku tatu nikasikia anaongea na shoga yake....leo hii wiki ya pili katoa na kaanza kuwa mnyenyekevu....
kweli dawa ya moto ni moto!!!!